kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Tz 1.2m
Ke 2.1m (almost double)
You now want to suggest Tz is deflating its tourist figures? To achieve what end? you the faster you realize Tz is not a joke the better it will be for your inflated ego.
am rounding off Tz 1.2m to 1m and Kenya's 2.1 m to 2m..We can still use the actual figures and the revenues per tourist is still over 90% better for Tz than kenya..And the same for GDP contribution per touristI'm not saying TZ is deflating. I am saying you are deflating the figures here today, because that way this discussion will favour you.
You want to say that you are earning more with less tourists.
Give us the latest figures.
So alshabab milijitakia au kuna mtu aliwatuma??? Kwenye swala la utalii hio ni kwaheri bye byeππππLakini tunafaa tupokee habari hii tukijua utalii wetu ulikua umepungua kutokana na mashambulizi ya kigaidi tangu 2013, sahii ndo tuna recover kwahivyo hii 5.6% growth imeturegesha pale tulipokua 2011, kuanzia huu mwaka kwenda mbele sasa ndo tunafaa kuchukua usukani vizuri
We are not LDC kama nyinyi janga likiitokea watalii wote wanakimbi nchi... Hadi Leo watalii bado huenda Lamu licha ya kua na travel advisory kibeo kwasababu ya kua next to Somalia...So alshabab milijitakia au kuna mtu aliwatuma??? Kwenye swala la utalii hio ni kwaheri bye byeππππ
Hahhaa so mbona unalia na alshabab kama ww mwanaume pambana na sio kulia ovyo kuhusu utalii hio sahau maisha yako yote nilistaajabu kuskia hoteli za masai mara per night ni 20usd ππππWe are not LDC kama nyinyi janga likiitokea watalii wote wanakimbi nchi... Hadi Leo watalii bado huenda Lamu licha ya kua na travel advisory kibeo kwasababu ya kua next to Somalia...
Naona umeingia Kwa Ile list ya vichaa wa 'niliskia,nimeskia...blah blah' , alafu jamaa anatunga story ....Hahhaa so mbona unalia na alshabab kama ww mwanaume pambana na sio kulia ovyo kuhusu utalii hio sahau maisha yako yote nilistaajabu kuskia hoteli za masai mara per night ni 20usd ππππ