TRC boresheni haya, nimepanda treni yenu ni nzuri ila tunahitaji maboresho zaidi

TRC boresheni haya, nimepanda treni yenu ni nzuri ila tunahitaji maboresho zaidi

Good Father

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
10,321
Reaction score
18,574
Salaam wanabodi,
Awali nipongeze walipa kodi na waasisi wa wazo la ujenzi wa Sgr nchini. Japo ni mwanzo ila tuseme ukweli ili maboresho yafanyike. Natoa experience kwa reference ya kituo cha Dodoma nilipowahi kusafiri kuelekea Jijini Dsm.
  1. Punguzeni matangazo ya kusifia Rais na Serikali kwa ujumla wake. Huu ni uchawa, huko wenzetu wanazo treni nyingi na nzuri lakini ukipanda huwezi kukuta haya mambo. After all Rais hajasimamia ujenzi kwa pesa yake kutoka mfukoni, bali kodi na mikopo itakayolipwa na watanzania. Msitumie usafiri wa umma kufanya kampeni za chama mjiheshimu.
  2. Madirisha ya wahudumu hayana watu pale ground floor, madirisha kibao mhudumu mmoja hii inapoteza muda.

  3. Fikirieni kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa treni ya express. Hizo ofisi zinatembelewa na wageni wengi sana sasa inaboa kidogo mtu anaenda Mji wa Serikali alafu anaenda kushuka mbele kisha arudi nyuma umbali wa zaidi ya kilomita 20.
  4. Angalieni namna ya watu kuruhusiwa kupanda na vyakula, kwenye ndege mtu anapanda mpaka na ndoo ya sato kutoka Mwanza ikiwa imefungwa vema, nyie kila kitu mnazuia. Angalieni namna ya kwenda nalo maisha lazima yawe simple. Wahudumu mlioajiri kuuza kahawa na bites wajinga wajinga pia, unampa mtu elfu tano anakwambia hana chenji na anaondoka na chai yake wala sio kutafuta chenji.
  5. Kukata tiketi mtandaoni unahitaji kupokea code kwenye namba yako ya simu, hii haina ulazima mbona mifumo mingi tu ya namna hii ipo na haihitaji namba ya simu? Imagine uko nje kidogo ya network ya Tanzania na unataka kumkatia mtu tiketi maana haiwezekani kwa sababu sms ya code haitakufikia. Jifunzeni kwenye usafiri wa anga hata mabasi. Vitu viwe simple.
  6. Kuuza vitu bei ghali kuliko uhalisia na bei ya soko. mfano korosho za 75g mnauza elfu 4. maana yake kilo moja mnauza elfu 53, kwamba zinatoka nje ya nchi au zinalimwa na Wamakonde wenzetu na isitoshe mnawalangua tu
 
Salaam wanabodi,
Awali nipongeze walipa kodi na waasisi wa wazo la ujenzi wa Sgr nchini. Japo ni mwanzo ila tuseme ukweli ili maboresho yafanyike. Natoa experience kwa reference ya kituo cha Dodoma nilipowahi kusafiri kuelekea Jijini Dsm.
  1. Punguzeni matangazo ya kusifia Rais na Serikali kwa ujumla wake. Huu ni uchawa, huko wenzetu wanazo treni nyingi na nzuri lakini ukipanda huwezi kukuta haya mambo. After all Rais hajasimamia ujenzi kwa pesa yake kutoka mfukoni, bali kodi na mikopo itakayolipwa na watanzania. Msitumie usafiri wa umma kufanya kampeni za chama mjiheshimu.
  2. Madirisha ya wahudumu hayana watu pale ground floor, madirisha kibao mhudumu mmoja hii inapoteza muda.
  3. Fikirieni kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa treni ya express. Hizo ofisi zinatembelewa na wageni wengi sana sasa inaboa kidogo mtu anaenda Mji wa Serikali alafu anaenda kushuka mbele kisha arudi nyuma umbali wa zaidi ya kilomita 20.
  4. Angalieni namna ya watu kuruhusiwa kupanda na vyakula, kwenye ndege mtu anapanda mpaka na ndoo ya sato kutoka Mwanza ikiwa imefungwa vema, nyie kila kitu mnazuia. Angalieni namna ya kwenda nalo maisha lazima yawe simple. Wahudumu mlioajiri kuuza kahawa na bites wajinga wajinga pia, unampa mtu elfu tano anakwambia hana chenji na anaondoka na chai yake wala sio kutafuta chenji.
  5. Kukata tiketi mtandaoni unahitaji kupokea code kwenye namba yako ya simu, hii haina ulazima mbona mifumo mingi tu ya namna hii ipo na haihitaji namba ya simu? Imagine uko nje kidogo ya network ya Tanzania na unataka kumkatia mtu tiketi maana haiwezekani kwa sababu sms ya code haitakufikia. Jifunzeni kwenye usafiri wa anga hata mabasi. Vitu viwe simple.
  6. Kuuza vitu bei ghali kuliko uhalisia na bei ya soko. mfano korosho za 75g mnauza elfu 4. maana yake kilo moja mnauza elfu 53, kwamba zinatoka nje ya nchi au zinalimwa na Wamakonde wenzetu na isitoshe mnawalangua tu
Kupanda na vyakula ni BIG NO!
Msilete ushamba.
Na tukumbuke Express ni Express na siyo treni ya wafanyakazi wa serikali.
 
Salaam wanabodi,
Awali nipongeze walipa kodi na waasisi wa wazo la ujenzi wa Sgr nchini. Japo ni mwanzo ila tuseme ukweli ili maboresho yafanyike. Natoa experience kwa reference ya kituo cha Dodoma nilipowahi kusafiri kuelekea Jijini Dsm.
  1. Punguzeni matangazo ya kusifia Rais na Serikali kwa ujumla wake. Huu ni uchawa, huko wenzetu wanazo treni nyingi na nzuri lakini ukipanda huwezi kukuta haya mambo. After all Rais hajasimamia ujenzi kwa pesa yake kutoka mfukoni, bali kodi na mikopo itakayolipwa na watanzania. Msitumie usafiri wa umma kufanya kampeni za chama mjiheshimu.
  2. Madirisha ya wahudumu hayana watu pale ground floor, madirisha kibao mhudumu mmoja hii inapoteza muda.
  3. Fikirieni kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa treni ya express. Hizo ofisi zinatembelewa na wageni wengi sana sasa inaboa kidogo mtu anaenda Mji wa Serikali alafu anaenda kushuka mbele kisha arudi nyuma umbali wa zaidi ya kilomita 20.
  4. Angalieni namna ya watu kuruhusiwa kupanda na vyakula, kwenye ndege mtu anapanda mpaka na ndoo ya sato kutoka Mwanza ikiwa imefungwa vema, nyie kila kitu mnazuia. Angalieni namna ya kwenda nalo maisha lazima yawe simple. Wahudumu mlioajiri kuuza kahawa na bites wajinga wajinga pia, unampa mtu elfu tano anakwambia hana chenji na anaondoka na chai yake wala sio kutafuta chenji.
  5. Kukata tiketi mtandaoni unahitaji kupokea code kwenye namba yako ya simu, hii haina ulazima mbona mifumo mingi tu ya namna hii ipo na haihitaji namba ya simu? Imagine uko nje kidogo ya network ya Tanzania na unataka kumkatia mtu tiketi maana haiwezekani kwa sababu sms ya code haitakufikia. Jifunzeni kwenye usafiri wa anga hata mabasi. Vitu viwe simple.
  6. Kuuza vitu bei ghali kuliko uhalisia na bei ya soko. mfano korosho za 75g mnauza elfu 4. maana yake kilo moja mnauza elfu 53, kwamba zinatoka nje ya nchi au zinalimwa na Wamakonde wenzetu na isitoshe mnawalangua tu
okey ni sawa :NoGodNo:
 
Imenishangaza sana kumbe hata mfuko huruhusiwi kuingia nao pale Dodoma getini kina Mama wanauza maboksi kwa wanakuja na mifuko.
 
Salaam wanabodi,
Awali nipongeze walipa kodi na waasisi wa wazo la ujenzi wa Sgr nchini. Japo ni mwanzo ila tuseme ukweli ili maboresho yafanyike. Natoa experience kwa reference ya kituo cha Dodoma nilipowahi kusafiri kuelekea Jijini Dsm.
  1. Punguzeni matangazo ya kusifia Rais na Serikali kwa ujumla wake. Huu ni uchawa, huko wenzetu wanazo treni nyingi na nzuri lakini ukipanda huwezi kukuta haya mambo. After all Rais hajasimamia ujenzi kwa pesa yake kutoka mfukoni, bali kodi na mikopo itakayolipwa na watanzania. Msitumie usafiri wa umma kufanya kampeni za chama mjiheshimu.
  2. Madirisha ya wahudumu hayana watu pale ground floor, madirisha kibao mhudumu mmoja hii inapoteza muda.

  3. Fikirieni kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa treni ya express. Hizo ofisi zinatembelewa na wageni wengi sana sasa inaboa kidogo mtu anaenda Mji wa Serikali alafu anaenda kushuka mbele kisha arudi nyuma umbali wa zaidi ya kilomita 20.
  4. Angalieni namna ya watu kuruhusiwa kupanda na vyakula, kwenye ndege mtu anapanda mpaka na ndoo ya sato kutoka Mwanza ikiwa imefungwa vema, nyie kila kitu mnazuia. Angalieni namna ya kwenda nalo maisha lazima yawe simple. Wahudumu mlioajiri kuuza kahawa na bites wajinga wajinga pia, unampa mtu elfu tano anakwambia hana chenji na anaondoka na chai yake wala sio kutafuta chenji.
  5. Kukata tiketi mtandaoni unahitaji kupokea code kwenye namba yako ya simu, hii haina ulazima mbona mifumo mingi tu ya namna hii ipo na haihitaji namba ya simu? Imagine uko nje kidogo ya network ya Tanzania na unataka kumkatia mtu tiketi maana haiwezekani kwa sababu sms ya code haitakufikia. Jifunzeni kwenye usafiri wa anga hata mabasi. Vitu viwe simple.
  6. Kuuza vitu bei ghali kuliko uhalisia na bei ya soko. mfano korosho za 75g mnauza elfu 4. maana yake kilo moja mnauza elfu 53, kwamba zinatoka nje ya nchi au zinalimwa na Wamakonde wenzetu na isitoshe mnawalangua tu
Kabla sijasoma ndani nilitaka kuishia kwenye heading nikwambie tuwape muda lakini kwa haya ulivyoeleza mkuu nakuunga mkono! Sisi Watanzania hatuwezi biashara sijui tukoje! Sijui tuibinafsishe kwa Wakenya? Kwenye kusifia Rais mkuu huo siyo uchawa tu bali ni upumbavu! Na hao nao utafikri hawana vichwa! Hivi ukiwazuia inakuwaje?
 
Kabla sijasoma ndani nilitaka kuishia kwenye heading nikwambie tuwape muda lakini kwa haya ulivyoeleza mkuu nakuunga mkono! Sisi Watanzania hatuwezi biashara sijui tukoje! Sijui tuibinafsishe kwa Wakenya? Kwenye kusifia Rais mkuu huo siyo uchawa tu bali ni upumbavu! Na hao nao utafikri hawana vichwa! Hivi ukiwazuia inakuwaje?
Wanaosifia wenyewe wako na njaa mpaka basi,ujinga wa kusema mama hadaiwi nusura nitukanwe juzi kati
 
Kupanda na vyakula ni BIG NO!
Msilete ushamba.
Na tukumbuke Express ni Express na siyo treni ya wafanyakazi wa serikali.
Tunatofautiana kwenye matumizi ya chakula kulingana na afya ya mtu, wapo wasiotumia chumvi, mafuta, sukari, nyama na wanga kwa wingi.
 
  1. Punguzeni matangazo ya kusifia Rais na Serikali kwa ujumla wake. Huu ni uchawa, huko wenzetu wanazo treni nyingi na nzuri lakini ukipanda huwezi kukuta haya mambo. After all Rais hajasimamia ujenzi kwa pesa yake kutoka mfukoni, bali kodi na mikopo itakayolipwa na watanzania. Msitumie usafiri wa umma kufanya kampeni za chama mjiheshimu.
Hii inaleta kinyaa sana.
 
Salaam wanabodi,
Awali nipongeze walipa kodi na waasisi wa wazo la ujenzi wa Sgr nchini. Japo ni mwanzo ila tuseme ukweli ili maboresho yafanyike. Natoa experience kwa reference ya kituo cha Dodoma nilipowahi kusafiri kuelekea Jijini Dsm.
  1. Punguzeni matangazo ya kusifia Rais na Serikali kwa ujumla wake. Huu ni uchawa, huko wenzetu wanazo treni nyingi na nzuri lakini ukipanda huwezi kukuta haya mambo. After all Rais hajasimamia ujenzi kwa pesa yake kutoka mfukoni, bali kodi na mikopo itakayolipwa na watanzania. Msitumie usafiri wa umma kufanya kampeni za chama mjiheshimu.
  2. Madirisha ya wahudumu hayana watu pale ground floor, madirisha kibao mhudumu mmoja hii inapoteza muda.

  3. Fikirieni kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa treni ya express. Hizo ofisi zinatembelewa na wageni wengi sana sasa inaboa kidogo mtu anaenda Mji wa Serikali alafu anaenda kushuka mbele kisha arudi nyuma umbali wa zaidi ya kilomita 20.
  4. Angalieni namna ya watu kuruhusiwa kupanda na vyakula, kwenye ndege mtu anapanda mpaka na ndoo ya sato kutoka Mwanza ikiwa imefungwa vema, nyie kila kitu mnazuia. Angalieni namna ya kwenda nalo maisha lazima yawe simple. Wahudumu mlioajiri kuuza kahawa na bites wajinga wajinga pia, unampa mtu elfu tano anakwambia hana chenji na anaondoka na chai yake wala sio kutafuta chenji.
  5. Kukata tiketi mtandaoni unahitaji kupokea code kwenye namba yako ya simu, hii haina ulazima mbona mifumo mingi tu ya namna hii ipo na haihitaji namba ya simu? Imagine uko nje kidogo ya network ya Tanzania na unataka kumkatia mtu tiketi maana haiwezekani kwa sababu sms ya code haitakufikia. Jifunzeni kwenye usafiri wa anga hata mabasi. Vitu viwe simple.
  6. Kuuza vitu bei ghali kuliko uhalisia na bei ya soko. mfano korosho za 75g mnauza elfu 4. maana yake kilo moja mnauza elfu 53, kwamba zinatoka nje ya nchi au zinalimwa na Wamakonde wenzetu na isitoshe mnawalangua tu
Kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa kuwa na train ya expres, huo ni mpango maalumu ambao unahitaji fedha baada ya mradi mzima kukamilika na ni mpango maalumu unaojitegemea (Ni project), lakini siyo kwa sababu ya watu watokao Dar es salaam kuja kituoni, kwa maana ya "Kushukia mbele halafu wanarudi nyuma" hiyo haitakuwa sababu ya msingi ya kuwa na train ya express, kwa kuwa hakuna "Mbele ya kituo au nyuma ya kituo" ukiwa jijini Dodoma.

Kwa kuwa baada ya mradi kukamilika kuna wasafiri ambao watakuwa wanatoka Mwanza, Kigoma na Tabora kuja Dodoma na hatimae wanatakiwa kwenda mji wa Serikali watakuwa wameshukia "Mbele ya kituo au nyuma ya kituo?"

Kumbuka kile kituo hakina mbele wala nyuma ya mahali unakoenda ile ni Destnation, baada ya kufika kituoni haijalishi unaenda wapi unalazimika kukodi usafiri, kupanda usafiri wa pamoja au utembee kwa mguu ili ufike uendako.

Wewe umeangalia upande mmoja tu kwa maana ya taasisi hiyo ya mji wa Serikali, hujaangalia taasisi zingine kama Benjamini Mkapa hosptal, uwanja wa ndege mpya unaojengwa Dodoma na taasisi zingine, na wasafiri watakaoshukia kituoni hapo ambao hawaendi kwenye taasisi hiyo ya mji wa Serikali, watakuwa wanaenda mbele au wanarudi nyuma!
 
Tunatofautiana kwenye matumizi ya chakula kulingana na afya ya mtu, wapo wasiotumia chumvi, mafuta, sukari, nyama na wanga kwa wingi.
Vizuri wapande ambulance ya wagonjwa waachane na SGR ,SGR sio gari ambulance ya wagonjwa
 
Back
Top Bottom