Ndiyo maana walifurahi ngoja tuisome vizuri.Nchi imeshikwa na wafanyabiashara hii!, hata vitu vyenye tija ktk jamii wanaviingilia!.
huu mradi alifaa kuuendeleza alieuanzisha lile jamaa lilikuwa halicheki na nyani!.
Huu mradi hauwezi kufa eti tu kuna changamoto ndogo dogo ambacho zipo kila sehemu.Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
View attachment 3175720
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
View attachment 3175721
Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.
-------------------------------------------
Taarifa hii inakuwa mwiba mkali sana kwa machawa na wale wazee wa mapambio. Mkipewa mawazo na watu sio kila wakati mnatakiwa kuwaona ni wapinzani. Sanja boy umefeli sana wewe pamoja na timu yako.
View attachment 3175722
Mlipoambiwa kuwa mnakwend kufanya project ambayo baadaye mtarudi kule kule, mliwaona wakosoaji ni chadema. Mlisema na kuwaaminisha watanzania kuwa umeme ni wa uhakika na treni hazitopata tatizo la kukatika.
Enewei nyie ndo wateulewa Rais! Wote tuseme kwa sauti moja kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI! Tusubirie machapisho na hongera nyingi kwa TRC
Mkuu usimulaumu kadogosa yeye tv remote wanayo aina frani ya majitu.nimekata tamaa kabisa,kadagosa kama CEO wa trc unaongoza huu ujinga kabisa!
Niabu kubwa hata kwa inchi jirani zetu bbc wamekolia hii habari kwenye mitandao nikawaza hawa wakenya wakiona kazi tumekwisha maana tuliwacheka sana.Mbuzi mwekundu, Kadogosa ni ndugu yako. Nchi isiyo Na Sheria Kali hakika ni shamba la Bibi.
Great failure kama Kadogosa ni wa kumpiga risasi hadharani
Aisee ni hovyo kabisa..watu wamejitoa ufahamu kabisa na hawajali kabisa..Chama Cha Mashenzi
Wakiweza wapitishe na Mabasi humo..kinawashinda nini😀😀😀Treni ya umeme inabadirika kuwa gari moshi mana lazima moshi utatoka tu kwenye exhaust ya engine ya diesel. Kwahyo lile jina la tren ya umeme hamna tena SGR na MGR sasa ngoma isambile
Na diesel ⛽⛽⛽ ni frusa kwao
Na diesel ⛽⛽⛽ ni frusa kwao
Bungeni kuna kauli za watu walioshibaMtandaoni kuna comment za watu waliochoka kweli
Mkuu Adre inaumiza sana. Trillion karibu ishirini imeteketea. Hiyo hela ingejenga lami za kutosha. SGR huu mradi hovyo kabisa.Jiulize sasa nguzo hizo na gharama za kuweka mifumo ya umeme ilikuwa za kazi gani?Si zingejengwa tu lami za kutosha Nchi nzima tena 4ways kwa Mikoa mikubwa hii..
Akili zetu zina shida pahalaa sio bure..sisi tunashida pahala.
Tukitaka kujifunza Nguvu za Giza..SGR ni.mfano tosha na wote waliopo huko.Mkuu Adre inaumiza sana. Trillion karibu ishirini imeteketea. Hiyo hela ingejenga lami za kutosha. SGR huu mradi hovyo kabisa.
hata kama tumbo Bado analo angejiudhuru kuliko kusimamia ujinga wa level ya lamiMkuu usimulaumu kadogosa yeye tv remote wanayo aina frani ya majitu.
siyo sgr ni usimamizi na maamuzi.Tukitaka kujifunza Nguvu za Giza..SGR ni.mfano tosha na wote waliopo huko.
nakubali lkn asiwe peke yake wawe wawili..Mbuzi mwekundu, Kadogosa ni ndugu yako. Nchi isiyo Na Sheria Kali hakika ni shamba la Bibi.
Great failure kama Kadogosa ni wa kumpiga risasi hadharani
Na mteuzi wake, au sio?nak
nakubali lkn asiwe peke yake wawe wawili..