TRC mnazidi kufeli kila uchwao.

TRC mnazidi kufeli kila uchwao.

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
View attachment 3175720

Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
View attachment 3175721

Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.

-------------------------------------------
Taarifa hii inakuwa mwiba mkali sana kwa machawa na wale wazee wa mapambio. Mkipewa mawazo na watu sio kila wakati mnatakiwa kuwaona ni wapinzani. Sanja boy umefeli sana wewe pamoja na timu yako.
View attachment 3175722

Mlipoambiwa kuwa mnakwend kufanya project ambayo baadaye mtarudi kule kule, mliwaona wakosoaji ni chadema. Mlisema na kuwaaminisha watanzania kuwa umeme ni wa uhakika na treni hazitopata tatizo la kukatika.

Enewei nyie ndo wateulewa Rais! Wote tuseme kwa sauti moja kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI! Tusubirie machapisho na hongera nyingi kwa TRC
Huu mradi hauwezi kufa eti tu kuna changamoto ndogo dogo ambacho zipo kila sehemu.
 
Tanzania nchi yangu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️. Hivi mna hakika hii nchi ina think tank kweli!!!!
 
Treni ya umeme inabadirika kuwa gari moshi mana lazima moshi utatoka tu kwenye exhaust ya engine ya diesel. Kwahyo lile jina la tren ya umeme hamna tena SGR na MGR sasa ngoma isambile
 
Mbuzi mwekundu, Kadogosa ni ndugu yako. Nchi isiyo Na Sheria Kali hakika ni shamba la Bibi.

Great failure kama Kadogosa ni wa kumpiga risasi hadharani
Niabu kubwa hata kwa inchi jirani zetu bbc wamekolia hii habari kwenye mitandao nikawaza hawa wakenya wakiona kazi tumekwisha maana tuliwacheka sana.
 
Treni ya umeme inabadirika kuwa gari moshi mana lazima moshi utatoka tu kwenye exhaust ya engine ya diesel. Kwahyo lile jina la tren ya umeme hamna tena SGR na MGR sasa ngoma isambile
Wakiweza wapitishe na Mabasi humo..kinawashinda nini😀😀😀
 
Jiulize sasa nguzo hizo na gharama za kuweka mifumo ya umeme ilikuwa za kazi gani?Si zingejengwa tu lami za kutosha Nchi nzima tena 4ways kwa Mikoa mikubwa hii..

Akili zetu zina shida pahalaa sio bure..sisi tunashida pahala.
Mkuu Adre inaumiza sana. Trillion karibu ishirini imeteketea. Hiyo hela ingejenga lami za kutosha. SGR huu mradi hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom