Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
nimefuta,: mkiambiwa MAGU was genious msibishe, Njia imepotea.Umeme wa kutosha upo. Unafikiri umeme unakatika kwa sababu hautoshi? Inawezekana hujui kuwa umeme kukatika sio lazima kuwe na upungufu.
SIASA KUINGIZWA KWENYE MASUALA YA UCHUMI, NDIYO SHIDA ILIPO!,Ni juzi kati tuu hapo yule mtusi alikua anatamba na kuitamka Tanzania kama kinara wa usamabazaji umeme afrika alafu umeme tuu wa kuendesha treni haupo π€π€ sasa wale waimba pambio na machawa wa bibi chaudere waliotukana na kudhihaki watu wataficha wapi sura zao π€π€ dj waite kati na ngoma ya mtoto kautaka tuendelee kuupiga mwingiπ€£π€£
View attachment 3175769
wenzio shida ni abiria:kubwa hatuko serious,yule jaluo PLO alisema wenye aidia wako nyumbani.SIASA KUINGIZWA KWENYE MASUALA YA UCHUMI, NDIYO SHIDA ILIPO!,
---------------
---------------
NAKUBALI HIZO PULLER ZA DIESEL ZITUMIKE KWENYE TRENI ZA MIZIGO PEKEE,
------------
PULLER ZA UMEME ZITUMIKE KWA ABIRIA!
CNG Ni nini tufafanulieMpango ulikuwa zije na CNG powered Engines! Cost na Uchafuzi wa Mazingira hapa TRC wanachemsha
mnafiki anakana ushuzi wakeView attachment 3175833
We jamaa ni mnafiki sana. Angalia hii comment yako ya February wakati Kadogosa anazungumzia ujio wa vichwa vya dizeli. Angalia na hii ya leo.. full unafk
Wewe mpumbavu. Hapo nilimaanisha Kadogosa anatudanganya. Hakuna diesel hybrid. It's either wanunue electric au diesel. Sio alichosema kuwa watanunua inayotumia umeme na diesel kwa wakati mmoja. Na he proved me right kuwa watanunua za diesel. Next time sumbua kichwa kidogo.View attachment 3175833
We jamaa ni mnafiki sana. Angalia hii comment yako ya February wakati Kadogosa anazungumzia ujio wa vichwa vya dizeli. Angalia na hii ya leo.. full unafki