Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
nimefuta,: mkiambiwa MAGU was genious msibishe, Njia imepotea.Umeme wa kutosha upo. Unafikiri umeme unakatika kwa sababu hautoshi? Inawezekana hujui kuwa umeme kukatika sio lazima kuwe na upungufu.