TRC mnazidi kufeli kila uchwao.

TRC mnazidi kufeli kila uchwao.

Kuna ubaya gani kuwa na BACK UP? tena TRC walifanya kosa kutoleta hizo diesel engine kwa ajili ya backup. Muhimu ni speed, hata hizo za diesel zikija speed itakuwa ile ile waliyodesign. Huwezi kufananisha na zile treni za kigoma. Imesemwa hapo za diesel zitatumika iwapo kuna tatizo la umeme shida iko wapi? Mlitaka iwapo umeme ukikatika watu walale njiani mpate thread jf na kwenye mitandao mingine?
 
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
View attachment 3175720

Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
View attachment 3175721

Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.

-------------------------------------------
Taarifa hii inakuwa mwiba mkali sana kwa machawa na wale wazee wa mapambio. Mkipewa mawazo na watu sio kila wakati mnatakiwa kuwaona ni wapinzani. Sanja boy umefeli sana wewe pamoja na timu yako.
View attachment 3175722

Mlipoambiwa kuwa mnakwend kufanya project ambayo baadaye mtarudi kule kule, mliwaona wakosoaji ni chadema. Mlisema na kuwaaminisha watanzania kuwa umeme ni wa uhakika na treni hazitopata tatizo la kukatika.

Enewei nyie ndo wateulewa Rais! Wote tuseme kwa sauti moja kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI! Tusubirie machapisho na hongera nyingi kwa TRC
CCM Hoyeee
 
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
View attachment 3175720

Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
View attachment 3175721

Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.

-------------------------------------------
Taarifa hii inakuwa mwiba mkali sana kwa machawa na wale wazee wa mapambio. Mkipewa mawazo na watu sio kila wakati mnatakiwa kuwaona ni wapinzani. Sanja boy umefeli sana wewe pamoja na timu yako.
View attachment 3175722

Mlipoambiwa kuwa mnakwend kufanya project ambayo baadaye mtarudi kule kule, mliwaona wakosoaji ni chadema. Mlisema na kuwaaminisha watanzania kuwa umeme ni wa uhakika na treni hazitopata tatizo la kukatika.

Enewei nyie ndo wateulewa Rais! Wote tuseme kwa sauti moja kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI! Tusubirie machapisho na hongera nyingi kwa TRC
Huyu Masanja ni tapeli si alituaeleza kuwa hizo treni zina power bank ya kuitunza umeme ata ukikatika umeme wa Tanesco linaendelea na safari!🤣🤣🤣🤣
 
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa amesema kwa kipindi cha muda mfupi mpaka kufikia July 28, 2024.Treni hiyo ya kisasa ilikuwa imekwisha safirisha abiria wapatao 28,600 na kukusanya kiasi cha fedha za Kitanzania Shilingi Milioni 744 toka kuanza kwa safari hizo.

Hata hivyo baadhi ya Wachumi wameonyesha wasiwasi juu ya hitilafu ya umeme iliyojitokeza wakati wa safari ya majaribio iliyopelekea Treni kusimama kwa muda wa masaa mawili na baadae Shirika la Reli Tanzania wakatoa ripoti ya awali kuwa hitilafu hiyo ilisababishwa na Ngendere na Ndege aina ya Bundi.

Suala ambalo Dkt Ntui Ponsian Mhadhiri kutoka katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Mwanza, amesema Shirika la Reli la Tanzania linapaswa kujiepusha na utoaji wa kauli kama hizo kwakuwa kauli hizo zinaweza kupelekea wateja na wananchi kupoteza imani na huduma zinazotolewa na shirika hilo.
 
Takataka kabisa hili shirika
Once a failure , always a failure
 
JK alisema wakati wa utawala wake SGR ilikuwa ijengwe ya treni za Diesel ⛽ ila Magufuli alipoingia ndiyo akasema atajenga SGR ya umeme.
Connect the dots;wamiliki wa sheli,malori na mabasi ni akaina nani!!!
 
Rais Samia amewatoa wasiwasi wa kukosa abiria wawekezaji waliowekeza katika sekta binafsi upande wa usafirishaji kwa njia ya Mabasi kwa kutoa ruhusa kwa wawekezaji hao kutafuta namna ya kuingia ubia na shirika la Reli Tanzania kutengeneza mfumo utakaowawezesha abiria kusafiri kwa kutumia tiketi moja kuunganisha safari katika Mabasi yanayokwenda katika mikoa mingine.
 
Umeme ni nishati ya gharama nafuu sana. CCM ni chama Cha mijitu iliyolaaniwa. Inawaza wizi tu Na wala Hawana ndoto ya kulivusha taifa letu.

Hebu jiulize kuanzia kimeanza kujiita chama Cha Mapinduzi kimefanya Mapinduzi GANI?

Mwendokasi ni mradi mfu hivi sasa.

Umeme wa gesi haujawahi kutusaidia

Upumbavu ndio umetamaliki halafu jitu kama Lucas Mwashambwa linashabikia upumbavu huu Na kusema mama anatosha, Pumbavu kabisa.

Hapa sasa ndio watu wataelewa. tuliambiwa sasa kukatika umeme ni historia. Bwawa la mwalimu Nyerere.. kiko wapi? Hawa ni kikundi cha wezi wezi wezi tu.
 
Mtanzania hodari kwa kuiba tu
Na kutengeneza figisufigisu tu zaidi ya hapo hakuna kitu

Ova
 
Kuna ubaya gani kuwa na BACK UP? tena TRC walifanya kosa kutoleta hizo diesel engine kwa ajili ya backup. Muhimu ni speed, hata hizo za diesel zikija speed itakuwa ile ile waliyodesign. Huwezi kufananisha na zile treni za kigoma. Imesemwa hapo za diesel zitatumika iwapo kuna tatizo la umeme shida iko wapi? Mlitaka iwapo umeme ukikatika watu walale njiani mpate thread jf na kwenye mitandao mingine?
Kwa ujinga huu diesel haiwezi kukosa? huko tusifike,wahakikishe Kwa namna yoyote umeme uwepo tu wa kutosha.magu alisema tumechelewa mno wahuni mmeona fursa hapo?
 
Kwa ujinga huu diesel haiwezi kukosa? huko tusifike,wahakikishe Kwa namna yoyote umeme uwepo tu wa kutosha.magu alisema tumechelewa mno wahuni mmeona fursa hapo?
Umeme wa kutosha upo. Unafikiri umeme unakatika kwa sababu hautoshi? Inawezekana hujui kuwa umeme kukatika sio lazima kuwe na upungufu.
 
Kuna ubaya gani kuwa na BACK UP? tena TRC walifanya kosa kutoleta hizo diesel engine kwa ajili ya backup. Muhimu ni speed, hata hizo za diesel zikija speed itakuwa ile ile waliyodesign. Huwezi kufananisha na zile treni za kigoma. Imesemwa hapo za diesel zitatumika iwapo kuna tatizo la umeme shida iko wapi? Mlitaka iwapo umeme ukikatika watu walale njiani mpate thread jf na kwenye mitandao mingine?
Screenshot_20241213_161244.jpg

We jamaa ni mnafiki sana. Angalia hii comment yako ya February wakati Kadogosa anazungumzia ujio wa vichwa vya dizeli. Angalia na hii ya leo.. full unafki
 
Back
Top Bottom