El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
alafu tukiitwa manyani tunamaind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndicho nimemaanisha Mkuu..ni tatizo kubwa hilo.siyo sgr ni usimamizi na maamuzi.
Weupe huwa wanatuona Kima kima sana sisi kwa sababu ya Mbuzi wachache hapa Nchini.alafu tukiitwa manyani tunamaind
bado tuna safari ndefu aisee.reli yenyewe sidhani kama inaendelea kujengwaWeupe huwa wanatuona Kima kima sana sisi kwa sababu ya Mbuzi wachache hapa Nchini.
Hiyo pesa Bora wangenipa mm nikatombee zote . *****Mkuu Adre inaumiza sana. Trillion karibu ishirini imeteketea. Hiyo hela ingejenga lami za kutosha. SGR huu mradi hovyo kabisa.
CCM HoyeeeShirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
View attachment 3175720
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
View attachment 3175721
Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.
-------------------------------------------
Taarifa hii inakuwa mwiba mkali sana kwa machawa na wale wazee wa mapambio. Mkipewa mawazo na watu sio kila wakati mnatakiwa kuwaona ni wapinzani. Sanja boy umefeli sana wewe pamoja na timu yako.
View attachment 3175722
Mlipoambiwa kuwa mnakwend kufanya project ambayo baadaye mtarudi kule kule, mliwaona wakosoaji ni chadema. Mlisema na kuwaaminisha watanzania kuwa umeme ni wa uhakika na treni hazitopata tatizo la kukatika.
Enewei nyie ndo wateulewa Rais! Wote tuseme kwa sauti moja kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI! Tusubirie machapisho na hongera nyingi kwa TRC
Huyu Masanja ni tapeli si alituaeleza kuwa hizo treni zina power bank ya kuitunza umeme ata ukikatika umeme wa Tanesco linaendelea na safari!🤣🤣🤣🤣Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
View attachment 3175720
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
View attachment 3175721
Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.
-------------------------------------------
Taarifa hii inakuwa mwiba mkali sana kwa machawa na wale wazee wa mapambio. Mkipewa mawazo na watu sio kila wakati mnatakiwa kuwaona ni wapinzani. Sanja boy umefeli sana wewe pamoja na timu yako.
View attachment 3175722
Mlipoambiwa kuwa mnakwend kufanya project ambayo baadaye mtarudi kule kule, mliwaona wakosoaji ni chadema. Mlisema na kuwaaminisha watanzania kuwa umeme ni wa uhakika na treni hazitopata tatizo la kukatika.
Enewei nyie ndo wateulewa Rais! Wote tuseme kwa sauti moja kuwa MAMA ANAUPIGA MWINGI! Tusubirie machapisho na hongera nyingi kwa TRC
Umeme ni nishati ya gharama nafuu sana. CCM ni chama Cha mijitu iliyolaaniwa. Inawaza wizi tu Na wala Hawana ndoto ya kulivusha taifa letu.
Hebu jiulize kuanzia kimeanza kujiita chama Cha Mapinduzi kimefanya Mapinduzi GANI?
Mwendokasi ni mradi mfu hivi sasa.
Umeme wa gesi haujawahi kutusaidia
Upumbavu ndio umetamaliki halafu jitu kama Lucas Mwashambwa linashabikia upumbavu huu Na kusema mama anatosha, Pumbavu kabisa.
Kwa ujinga huu diesel haiwezi kukosa? huko tusifike,wahakikishe Kwa namna yoyote umeme uwepo tu wa kutosha.magu alisema tumechelewa mno wahuni mmeona fursa hapo?Kuna ubaya gani kuwa na BACK UP? tena TRC walifanya kosa kutoleta hizo diesel engine kwa ajili ya backup. Muhimu ni speed, hata hizo za diesel zikija speed itakuwa ile ile waliyodesign. Huwezi kufananisha na zile treni za kigoma. Imesemwa hapo za diesel zitatumika iwapo kuna tatizo la umeme shida iko wapi? Mlitaka iwapo umeme ukikatika watu walale njiani mpate thread jf na kwenye mitandao mingine?
Umeme wa kutosha upo. Unafikiri umeme unakatika kwa sababu hautoshi? Inawezekana hujui kuwa umeme kukatika sio lazima kuwe na upungufu.Kwa ujinga huu diesel haiwezi kukosa? huko tusifike,wahakikishe Kwa namna yoyote umeme uwepo tu wa kutosha.magu alisema tumechelewa mno wahuni mmeona fursa hapo?
eti anang'ang'ania atupeleke wapi?Mama alidandia ishu hazikua zake. Ajabu ni pale anapo ng'ang'ania Ili atupeleke chaka
Kuna ubaya gani kuwa na BACK UP? tena TRC walifanya kosa kutoleta hizo diesel engine kwa ajili ya backup. Muhimu ni speed, hata hizo za diesel zikija speed itakuwa ile ile waliyodesign. Huwezi kufananisha na zile treni za kigoma. Imesemwa hapo za diesel zitatumika iwapo kuna tatizo la umeme shida iko wapi? Mlitaka iwapo umeme ukikatika watu walale njiani mpate thread jf na kwenye mitandao mingine?