chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,371
- 1,856
NDIO TUNAFANYA HIVYO MKUU! LAKINI WANANCHI WANAKOSA SUBIRA. TUNASUBIRI WAJICHUJE ILI TUJUE MAKADIRIO HALISI YA WATU WETU. ASANTE SANA MKUU KWA UFAFANUZIKabla ya kuongeza safari una monitor trend kwanza. Sasa hivi ni ngumu kwasababu watu wengi wanapanda tu ile kutoa gundu, kwahio huwezi kutumia hesabu hii kupanga idadi yavtreni kwa siku. Utafika muda watajua idadi ya abiria halisi kwa siku