TRC yakanusha taarifa ya mabehewa ya SGR kuzuiwa Nchini Ujerumani

TRC yakanusha taarifa ya mabehewa ya SGR kuzuiwa Nchini Ujerumani

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mabehewa.jpg


Pia soma: Fedha zetu matopeni tena?
 
Sijaelewa hii taarifa, kwanza wamekiri kuipa kazi kampuni husika na kisha kuvunja mkataba.

Je kabla kabla ya kuvunja mkataba kazi ilikua imefanyika kwa asilimia ngapi?

Je walikua wamelipa kiasi tajwa cha fedha?

Je malipo yaliyokwishafanyika wamerejeshewa?

Huyu mkandarasi mpya anaendeleza kazi hiyo ama anenda kufanya kazi mpya?

Je hatuoni tumepoteza muda mrefu na ni hasara kubwa kwa serikali na taifa kwa ujumla maana tunajenga na kununua mabehewa na vichwa vya treni kwa mkopo?

Waliocheleweshwa wamepigwa fine?
 
Back
Top Bottom