Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Uonevu sana kwa viumbe hayawani wasio na Aa wala Bee ya uhusiano wa umeme na mabehewa.Kweli kabisa maana msala anatupiwa ngedere na bundi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uonevu sana kwa viumbe hayawani wasio na Aa wala Bee ya uhusiano wa umeme na mabehewa.Kweli kabisa maana msala anatupiwa ngedere na bundi
Ova
Unataka kusema expiry date yake tayari na imepitiliza?Una hoja,usikamatwe kwa mahojiano.Hapo shida sio umeme unaosumbua wala nini
Train ya mtumba imechoka.
Hujuma wapi aisee, hizi mambo za kuwasingizia wamiliki wa mabasi sometimes mnawaonea tu..Isije ikawa hujuma hii
Mwendokasi imewashinda ukija atcl imewashida hiyo SGR nayo imewashinda wanachowezaxni uffisadi tuTAARIFA KWA UMMA HITILAFU YA TRENI YA KAWAIDA YA ABIRIA KUTOKA DODOMA KUELEKEA DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, Tarehe 2 Agosti 2024
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kwa abiria waliosafiri kutoka Dodoma saa 2.15 usiku kuelekea Dar es Salaam Agosti 1, 2024 kwa treni ya mwendo kasi kuchelewa kuwasili kutokana na hitilafu ya kiufundi iliyotokea eneo la Mtaa wa Mshikamano Kata ya Kihonda mkoani Morogoro.
Hitilafu za kiufundi zilitokea majira ya saa 4.33 usiku na kushughulikiwa kwa muda wa takriban saa moja na kusababisha treni hiyo ya abiria kutoka Dodoma kuchelewa kuwasili Dar es Salaam kwa wakati uliopangwa.
Shirika la Reli Tanzania linatoa taarifa kuwa treni ya abiria iliyobeba viongozi na wananchi wengine waliotoka Dodoma saa 1 usiku baada ya kushiriki sherehe za uzinduzi wa SGR waliwasili Dar es Salaam kwa muda uliopangwa bila hitilafu yeyote.
TRC inazingatia usalama wa abiria kabla na wakati wa safari ili kuepusha madhara kwa watumiaji wa huduma za usafiri wa reli na linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO
Tuwa-criticise ili wajiboreshe.Mwisho wa yote hivyo vyote n vyetu.Mwendokasi imewashinda ukija atcl imewashida hiyo SGR nayo imewashinda wanachowezaxni uffisadi tu
Ni kweli walisema zina power bank,any way Kuna haja ya kuwa na vichwa vingine toka Sweden,kama mtu alitenegeza scania hawezi shindwa jambo dogo kama Hilo,naomba tafadhali mtulinde kwa hili.Tunaomba majibu juu ya power bank za treni au wametutapeli wameleta ambazo hazina mfumo huo?
Ikiwa ndivyo wahusika wachukuliwe hatua kali.
comment yako izingatiwe, ikiwezekana Iwekiwe LaminationNi kweli walisema zina power bank,any way Kuna haja ya kuwa na vichwa vingine toka Sweden,kama mtu alitenegeza scania hawezi shindwa jambo dogo kama Hilo,naomba tafadhali mtulinde kwa hili.
Shida tulio jenga reli mmetutupa pembeni wamewekwa walio soma kwa madigrii wakati sisi la saba, nne, tatu na lapili mmetuacha pembeni wakati sisi ndiyo tuna jua kwa kina chamgamoto za huu mradiTAARIFA KWA UMMA HITILAFU YA TRENI YA KAWAIDA YA ABIRIA KUTOKA DODOMA KUELEKEA DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, Tarehe 2 Agosti 2024
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kwa abiria waliosafiri kutoka Dodoma saa 2.15 usiku kuelekea Dar es Salaam Agosti 1, 2024 kwa treni ya mwendo kasi kuchelewa kuwasili kutokana na hitilafu ya kiufundi iliyotokea eneo la Mtaa wa Mshikamano Kata ya Kihonda mkoani Morogoro.
Hitilafu za kiufundi zilitokea majira ya saa 4.33 usiku na kushughulikiwa kwa muda wa takriban saa moja na kusababisha treni hiyo ya abiria kutoka Dodoma kuchelewa kuwasili Dar es Salaam kwa wakati uliopangwa.
Shirika la Reli Tanzania linatoa taarifa kuwa treni ya abiria iliyobeba viongozi na wananchi wengine waliotoka Dodoma saa 1 usiku baada ya kushiriki sherehe za uzinduzi wa SGR waliwasili Dar es Salaam kwa muda uliopangwa bila hitilafu yeyote.
TRC inazingatia usalama wa abiria kabla na wakati wa safari ili kuepusha madhara kwa watumiaji wa huduma za usafiri wa reli na linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO