TRC yaomba radhi kutokana na hitilafu ya umeme katika Treni ya SGR

Mwendokasi imewashinda ukija atcl imewashida hiyo SGR nayo imewashinda wanachowezaxni uffisadi tu
 
Watachokaa mbonaaa waulize mwendokasiii walijidai kuanza na mtoto kama hawaa siku hiziii sasa kama wanapakia mbuzii..!!
 
Tunaomba majibu juu ya power bank za treni au wametutapeli wameleta ambazo hazina mfumo huo?
Ikiwa ndivyo wahusika wachukuliwe hatua kali.
Ni kweli walisema zina power bank,any way Kuna haja ya kuwa na vichwa vingine toka Sweden,kama mtu alitenegeza scania hawezi shindwa jambo dogo kama Hilo,naomba tafadhali mtulinde kwa hili.
 
Hii
Ni kweli walisema zina power bank,any way Kuna haja ya kuwa na vichwa vingine toka Sweden,kama mtu alitenegeza scania hawezi shindwa jambo dogo kama Hilo,naomba tafadhali mtulinde kwa hili.
comment yako izingatiwe, ikiwezekana Iwekiwe Lamination
 
Shida tulio jenga reli mmetutupa pembeni wamewekwa walio soma kwa madigrii wakati sisi la saba, nne, tatu na lapili mmetuacha pembeni wakati sisi ndiyo tuna jua kwa kina chamgamoto za huu mradi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…