TRC yaomba radhi Treni ya Mchongoko Dar-Dodoma kusimama ghafla kati ya Pugu na Soga

TRC yaomba radhi Treni ya Mchongoko Dar-Dodoma kusimama ghafla kati ya Pugu na Soga

Wakuu,


Taarifa kwa umma,

Shirika la reli tanzania (trc) linaomba radhi kwa abiria wa treni ya mchongoko (emu) walioanza safari yao dar es salaam kwenda dodoma saa 2:00 asubuhi na kusimama ghafla majira ya saa 2:20 kati ya pugu na soga.

Aidha, tunaomba radhi pia kwa abiria wetu wa treni ya saa 11:15 alfajiri kutoka dodoma na treni ya saa 3:30 kutoka dar es salaam ikijumuisha safari nyingine za siku ya leo ambazo zimeathiriwa kufuatia hitilafu kwenye mifumo yetu ya uendeshaji

Mafundi wetu wako eneo la tukio wanafanyia kazi changamoto hiyo, tutaendelea kuwapatia taarifa

Tunatanguliza shukurani.


Pia soma: TRC yaomba radhi Treni ya Mchongoko Dar-Dodoma kusimama ghafla kati ya Pugu na Soga
Eneo hili miaka yote huwa namijusi na vyura wengi sana wanaosababisha magurudumu yateleze.
 
Watanzania siku zote tunafanya kazi kwa matukio, hatuna mipango n amipangilio.

Kwente taratibu na sea tuefeli kabisa. oi atingwa kwenye makaratasi tu, hazina uhalisia.
 
Wakuu,


Taarifa kwa umma,

Shirika la reli tanzania (trc) linaomba radhi kwa abiria wa treni ya mchongoko (emu) walioanza safari yao dar es salaam kwenda dodoma saa 2:00 asubuhi na kusimama ghafla majira ya saa 2:20 kati ya pugu na soga.

Aidha, tunaomba radhi pia kwa abiria wetu wa treni ya saa 11:15 alfajiri kutoka dodoma na treni ya saa 3:30 kutoka dar es salaam ikijumuisha safari nyingine za siku ya leo ambazo zimeathiriwa kufuatia hitilafu kwenye mifumo yetu ya uendeshaji

Mafundi wetu wako eneo la tukio wanafanyia kazi changamoto hiyo, tutaendelea kuwapatia taarifa

Tunatanguliza shukurani.


Pia soma: KERO - √ - Treni ya mchongoko Dar-Dodoma imeharibika porini toka saa 2 asubuhi kati ya eneo la Pugu na Soga
Abood na Shabiby wana maoni gani?
Kuna moja imesikika usiku wa saa 9 sijui ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi muda huo
 
Watanzania siku zote tunafanya kazi kwa matukio, hatuna mipango n amipangilio.

Kwente taratibu na sea tuefeli kabisa. oi atingwa kwenye makaratasi tu, hazina uhalisia.
Yatakoma siku yakivunjwa majukwaa yote ya siasa tukabakia kupimwa kwa vitendo badala ya maneno
 
Yatakoma siku yakivunjwa majukwaa yote ya siasa tukabakia kupimwa kwa vitendo badala ya maneno
Hiyo ni wishful thinking.

Mimi nakushauri anza kuvunja kwenye nafsi yao na ishi vile unavyoona wewe sawa, usiwe kondoo wa kungoja kufanyiwa na wengine kila kitu.
 
mchongoko uko vizuriii mazee....nimepiga haja zote mlee na nimejihisi vizuri sana kama mtanzania mlipa ushuruu....ila tuekewe maji ya kutawaza mleee, sio unatoka kwa mchongoko ukinuka mafwiii ...hasa apo maeneo ya puguuu
 
Back
Top Bottom