Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Kwani vile tulivyo okota pale bandarini vilienda wapi?
Vipi kuna usanii zaidi kuliko wa kwetu?ukishataja Malysia tu, tayari naanza kuogopa...
Malaysia ndio mara ya kwanza wana export locomotives zilizotengenezwa nchini kwao, mna uhakika na ubora wake au Tanzania ndio nchi ya majaribio????? Malaysian-built locomotive for the African freight market unveiled
Kichwa cha mwendawazimu.Malaysia ndio mara ya kwanza wana export locomotives zilizotengenezwa nchini kwao, mna uhakika na ubora wake au Tanzania ndio nchi ya majaribio????? Malaysian-built locomotive for the African freight market unveiled
Hatuna mshiko wa kuagiza kutoka SiemensMalaysia ndio mara ya kwanza wana export locomotives zilizotengenezwa nchini kwao, mna uhakika na ubora wake au Tanzania ndio nchi ya majaribio????? Malaysian-built locomotive for the African freight market unveiled