Tren ya SGR yazidiwa na abiria kutoka Dar to Dodoma

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,417
Reaction score
6,149
Abiria wanao tumia tren ya mwendo Kasi SGR kutoka Dar to Dodoma wamekuwa wengi sana kupelekea tren kukaa mapema huku abiria wakikosa sit nashauri wahusika waongeze mabehewa kuliko kutumia hayo 14 tu yaliyopo mtu unatafuta sit siku mbili mbele unaambiwa tren imejaa.

Mfano Jana jumamosi nimejaribu kuangalia usafiri wa jumapili umejaa jumatatu umejaa hadi jumanne nayo jioni asubuhi tren limejaa inapaswa waongeze mabehewa.

Soma Pia: Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi
 
Kuna vichwa na mabehewa mengi pale Ruvu sijui yanasubiri nini
 
Nashauri wataalamu watazame huo uwezekano wa kuongeza hayo mabehewa, tusije kudhani tukiongeza mabehewa bila hesabu basi ufanisi utabaki vilevile, Waafrika tuna hii changamoto.
 
Watu wanapiga deal ktk hii fursa

Yada Yada
 
Bonge la fursa kwa TRC sema ndiyo hivyo tena viongozi wetu wengi ni vilaza ccm imeharibu sana
Ni kwa Tanzania pekee ambapo biashara inakufa kutokana na kuzidiwa na wateja wengi zaidi.
 
Inabidi waongeze mabehewa, walau mtu akitaka treni ya kesho yake pawe na nafasi
 
Kama Dom dar masaa matatu..na nusu nzuri hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…