Tren ya SGR yazidiwa na abiria kutoka Dar to Dodoma

Tren ya SGR yazidiwa na abiria kutoka Dar to Dodoma

Wapigaji na wahujumu bado hawajaanza yao?
 
NASHAURI KAMA KUNA UWEZEKANO SGR IPELEKWE KASKAZINI KUWASAIDIA WENZETU KIPINDI CHA DESEMBA
 
Hivi kesho mchongoko unaanza safari bila uzinduzi
 
Nchi limeshakuwa la kipumbavu hili! Wanakazana kununua ndege badala wawekeze kwenye reli!
 
huyu dereva wa sgr mchongoko noma sana yaani anatoka dar 18.40 dom 21.40, hapo kashusha na kupakia abiria moro, kasimama mkata kwenye mapishano. wakati shabiby inatoka dar 19.00 inafika dom saa 11 alfajiri
 
Abiria wanao tumia tren ya mwendo Kasi SGR kutoka Dar to Dodoma wamekuwa wengi sana kupelekea tren kukaa mapema huku abiria wakikosa sit nashauri wahusika waongeze mabehewa kuliko kutumia hayo 14 tu yaliyopo mtu unatafuta sit siku mbili mbele unaambiwa tren imejaa.

Mfano Jana jumamosi nimejaribu kuangalia usafiri wa jumapili umejaa jumatatu umejaa hadi jumanne nayo jioni asubuhi tren limejaa inapaswa waongeze mabehewa.

Soma Pia: Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi
Hizo stress bora niendelee panda shabibby... Kikubwa ku balance tu muda.
 
Back
Top Bottom