Trend ya hizi picha zinafurahisha na kufikirisha "Her past matter"

Trend ya hizi picha zinafurahisha na kufikirisha "Her past matter"

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Huko tweeter Kuna meme imeenda sana viral ambayo inaonyesha wanaume wamejipanga mstari wa foleni wakiwa uchi na mmoja kati yao amevaa nguo huku kashika maua wakipata huduma ya mapenzi kwa mwanamke
Screenshot_20230526-183144.png


View attachment 2635823
Maelezo ya picha
Picha inakusudia kuonyesha maisha ya nyuma ya mwanamke kabla hajaolewa kwamba kabla mwanamke hajafikia kwenye ndoa basi tayari anakuwa katembea na wanaume wengi hivyo ni muhimu mwanaume kuzingatia your girlfriend past ,hao waliokuwa uchi ni bad boys (wale wazee wa hit and run) na huyo mwamba aliyeshika maua ndio muoji mwenyewe

Picha inasindikizwa na caption "Her past matter"

Swali la msingi , Does her past matter?
Je Kuna umuhimu wowote wa kuzingatia maisha ya zaman ya mpenzi wako?


Jibu ni Ndiyo

Maisha nyuma ya mtu yanamfanya kuwa vile alivyo sasa past yako ndio msingi wa maisha unayoishi sasa . Sisi sote tupo tulivyo kwa sababu ya uzoefu, mzuri na mbaya, ambao yametuunda.

Umuhimu wa jambo hili hata wazee wetu wanalijua ndio maana walizangitia kuoa katika familia zinazofahamika na zilizojirani hili iwe rahisi kuzichunguza

Huwezi kumpenda mtu usiyemjua. Huwezi kumjua mtu bila kuelewa maisha yake ya nyuma.

Her past matter

Memes

Watu wakaanza kusema hio foleni mbona ndogo iongezwe kidogo
IMG_20230526_182028.jpg


Its getting longer

IMG_20230526_182033.jpg


Wazee wa kucheat line
IMG_20230526_182014.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230526-183144.png
    Screenshot_20230526-183144.png
    90.1 KB · Views: 4
Inafikirisha Sana.

Ila uhalisia wa Mambo upo hivyo. Lakini tunapoangalia upande WA mwanamke Tu na kusahau kuwa mwanaume nae ana past matter yake haimake sense.

Kama kupimwa, tupimwe jinsia zote Kwa mizani sawa.

Sielewi ni kwanini Sisi wanaume tukiwa Malaya ni Sawa Ila Kwa mwanamke akiwa Malaya ni kosa kubwa Sana.

Nadhani iyo memes wangeteneza na ya mwanaume kubalance mizani.
 
Hili la hii memes iliyotrend inafikirisha sana yaani[emoji848]
 
Inafikirisha Sana.

Ila uhalisia wa Mambo upo hivyo. Lakini tunapoangalia upande WA mwanamke Tu na kusahau kuwa mwanaume nae ana past matter yake haimake sense.

Kama kupimwa, tupimwe jinsia zote Kwa mizani sawa.

Sielewi ni kwanini Sisi wanaume tukiwa Malaya ni Sawa Ila Kwa mwanamke akiwa Malaya ni kosa kubwa Sana.

Nadhani iyo memes wangeteneza na ya mwanaume kubalance mizani.
Jitahidi mtengeneze wanawake mnaowataka wenyewe.
IMG_20230526_213735.jpg

Bila shaka Ina matter kwa Kila jinsia hata wanawake nao wanapaswa kuchunguza past za wanaume zao
 
Inafikirisha Sana.

Ila uhalisia wa Mambo upo hivyo. Lakini tunapoangalia upande WA mwanamke Tu na kusahau kuwa mwanaume nae ana past matter yake haimake sense.

Kama kupimwa, tupimwe jinsia zote Kwa mizani sawa.

Sielewi ni kwanini Sisi wanaume tukiwa Malaya ni Sawa Ila Kwa mwanamke akiwa Malaya ni kosa kubwa Sana.

Nadhani iyo memes wangeteneza na ya mwanaume kubalance mizani.
Bro hata hata kihisia ni tofauti kaka kumbuka mwanamke anashiriki tendo kwa hisia zaidi na pia sisi wanaume tuna saize tofauti tofauti hivyo anapoingiliwa na size hizo zote ni hatari Sana kwa mme wakee hapo mbeleniii
 
Bro hata hata kihisia ni tofauti kaka kumbuka mwanamke anashiriki tendo kwa hisia zaidi na pia sisi wanaume tuna saize tofauti tofauti hivyo anapoingiliwa na size hizo zote ni hatari Sana kwa mme wakee hapo mbeleniii
Kama mtoto anapita na njia inarudi kama kawaida...hiyo m.booo ni ya sazi gani...mpka...uke usirudi?
 
Inafikirisha Sana.

Ila uhalisia wa Mambo upo hivyo. Lakini tunapoangalia upande WA mwanamke Tu na kusahau kuwa mwanaume nae ana past matter yake haimake sense.

Kama kupimwa, tupimwe jinsia zote Kwa mizani sawa.

Sielewi ni kwanini Sisi wanaume tukiwa Malaya ni Sawa Ila Kwa mwanamke akiwa Malaya ni kosa kubwa Sana.

Nadhani iyo memes wangeteneza na ya mwanaume kubalance mizani.
Mwanaume anaangaliwa future yake. Mwanaume na mwanamke hawapo sawa.
 
View attachment 2635906
Bila shaka Ina matter kwa Kila jinsia hata wanawake nao wanapaswa kuchunguza past za wanaume zao
Unafikiri Mungu alikosa maarifa alipowapa adhabu tofauti pale Eden?
▪︎ Mwanamke kuzaa kwa uchungu
▪︎ Mwanaume kula kwa jasho

Iko hivi; mwanaume na mwanamke wanatofautiana kuanzia maumbile, hisia, akili hadi majukumu.

Hivyo; mwanamke angalia past yake, mwanaume angalia future yake.

Hivyo ndivyo saikolojia zetu zilivyo. Wewe hata uwe na wanawake 1,000; mwanamke ataangalia future yako, maana utakula kwa jasho.

Mwanamke hata awe Rais, mwanaume tutaangalia vaginometer, maana atazaa kwa uchungu.

Ukitaka mwanaume na mwanamke wawe sawa, wewe utakuwa shoga.
 
Back
Top Bottom