Trend ya mabinti wengi kuolewa na wababu, vijana wa kiume tunakwama wapi

Vijana hatutafut hela,wazee wanatupiga gape, sema nn hao wenyew wakisha pata wanachokitaka wanakuja kwa vijana tena maisha s
Circulation
 
Matunzo..wazee wanalea vizuri Sana.
 

Kwanza ni 1. Uroho wa mali. Vibabu vingi vina fedha na vijana bado wanatafuta
2. Uwezo wa kingono. Vizee ni bao moja lakini vijana wanapiga wanataka wafie kiunoni
3. Tatu utapeli. Vijana watapeli wa mapenzi no future kwa wanawake lakini vizee future ipo
 
Hahaha
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…