Trending ID

Kuna mmoja hapo ana ID zaidi ya kumi... Machoni kama mtu... Lakini ni bonge la mnafique... Anakuja na ID ya kwanza analike na kukupa sifa kibao... Halafu anabadili ID na kukuponda mbaya mxiuuu[emoji35][emoji34][emoji35][emoji34][emoji34][emoji34]
Natamani nimjue...haha
 
Kuna mmoja hapo ana ID zaidi ya kumi... Machoni kama mtu... Lakini ni bonge la mnafique... Anakuja na ID ya kwanza analike na kukupa sifa kibao... Halafu anabadili ID na kukuponda mbaya mxiuuu[emoji35][emoji34][emoji35][emoji34][emoji34][emoji34]


Kaka mkubwa pole, ndo maisha yalivyo.

Watu wengi tukiwa nyuma ya keyboards tunadhani tuna ruhusa ya kufanya chochote kile, hata cha kuwaumiza wenzetu.
 
Nimekumisi me more nilivyoona tu hiyo sms yako moyo ukafanya paa na kuandika I love u.
Hahahaha....nilivyoona neno I love u mapigo yangu ya moyo yanadunda "dukuduku" nimejikuta naandika I love you too
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…