Trends za muonekano zinavyowatesa wanawake enzi na enzi

Trends za muonekano zinavyowatesa wanawake enzi na enzi

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mitazamo ya uzuri wa mwanamke siyo ya kudumu, inabadilika kulingana na nyakati.

Enzi za mabibi zetu wanawake wenye mwanya walionekana kuwa ndiyo warembo zaidi. Ikawalazimu bibi zetu kubomoa meno ya mbele ili kupata pengo litakalohesabika kama mwanya.

Enzi za mama zetu, wanawake wenye rangi ya mtume walionekana kuwa ndiyo wenye soko kubwa sana kwa wanaume. Ikawalazimu mama zetu kujichubua kwa kutumia mkorogo ili kuondoa rangi nyeusi waweze kuonekana weupe.

Katika enzi hizi, mwanamke mwenye chura anamiliki dunia yote. Akivaa nguo ikayaonesha vema makalio, basi kila atakapopita atatazamwa. Hii inawalazimu akina dada kuvaa vigodoro ili kuongeza ukubwa wa vikalio vyao asilia. Na wengine hupaka mafuta maalumu ya kukuza makalio maarufu kama "machina".

Na tunakoelekea "kiuno nyigu" ndiyo inaenda kuchukua nafasi ya makalio makubwa. Naona trend ya wadada kubana tumbo inakuja kwa kasi sana.
 
Umesahau kabla ya hii mizigo kutrend, wanawake portable, english figure ndio ilikua habari ya mjini.

Videm vya mjini mjini vingi vilikua vyembamba tu, kama ana jishepu basi ni lake hawa vimbaumbau haliwasumbui.

Ila zama hizi dem ili ajione mkali ni mpaka avae nguo itayoonesha vitako vyake hata kama ni viskonzi au vitako ngumi.
 
Mitazamo ya uzuri wa mwanamke siyo ya kudumu, inabadilika kulingana na nyakati.

Enzi za mabibi zetu wanawake wenye mwanya walionekana kuwa ndiyo warembo zaidi. Ikawalazimu bibi zetu kubomoa meno ya mbele ili kupata pengo litakalohesabika kama mwanya.

Enzi za mama zetu, wanawake wenye rangi ya mtume walionekana kuwa ndiyo wenye soko kubwa sana kwa wanaume. Ikawalazimu mama zetu kujichubua kwa kutumia mkorogo ili kuondoa rangi nyeusi waweze kuonekana weupe.

Katika enzi hizi, mwanamke mwenye chura anamiliki dunia yote. Akivaa nguo ikayaonesha vema makalio, basi kila atakapopita atatazamwa. Hii inawalazimu akina dada kuvaa vigodoro ili kuongeza ukubwa wa vikalio vyao asilia. Na wengine hupaka mafuta maalumu ya kukuza makalio maarufu kama "machina".

Na tunakoelekea "kiuno nyigu" ndiyo inaenda kuchukua nafasi ya makalio makubwa. Naona trend ya wadada kubana tumbo inakuja kwa kasi sana.
kwa hiyo wataanza kula kidogo😂😂
 
Mitazamo ya uzuri wa mwanamke siyo ya kudumu, inabadilika kulingana na nyakati.

Enzi za mabibi zetu wanawake wenye mwanya walionekana kuwa ndiyo warembo zaidi. Ikawalazimu bibi zetu kubomoa meno ya mbele ili kupata pengo litakalohesabika kama mwanya.

Enzi za mama zetu, wanawake wenye rangi ya mtume walionekana kuwa ndiyo wenye soko kubwa sana kwa wanaume. Ikawalazimu mama zetu kujichubua kwa kutumia mkorogo ili kuondoa rangi nyeusi waweze kuonekana weupe.

Katika enzi hizi, mwanamke mwenye chura anamiliki dunia yote. Akivaa nguo ikayaonesha vema makalio, basi kila atakapopita atatazamwa. Hii inawalazimu akina dada kuvaa vigodoro ili kuongeza ukubwa wa vikalio vyao asilia. Na wengine hupaka mafuta maalumu ya kukuza makalio maarufu kama "machina".

Na tunakoelekea "kiuno nyigu" ndiyo inaenda kuchukua nafasi ya makalio makubwa. Naona trend ya wadada kubana tumbo inakuja kwa kasi sana.
Mi nasubiri wakifika hatua ya sisi wanaume tunaopenda mibichwa mikubwa .....tuone watafanya Nini kuongeza ndonga....ni hayo tu.
 
Umesahau kabla ya hii mizigo kutrend, wanawake portable, english figure ndio ilikua habari ya mjini.

Videm vya mjini mjini vingi vilikua vyembamba tu, kama ana jishepu basi ni lake hawa vimbaumbau haliwasumbui.

Ila zama hizi dem ili ajione mkali ni mpaka avae nguo itayoonesha vitako vyake hata kama ni viskonzi au vitako ngumi.
Inategemea ''ntu na ntu''. Tangu zamani kulikuwa na msemo wa ''wowowo''. Na pia kulikuwa na ''kimobitel''. Kila mwanamme ana uchaguzi wake. Na zaidi wanaume wengi hawapendi kuoa wanawake wenye makalio makubwa. Utakuta wanawafanya kama maabara ya mazoezi tu.
 
Mitazamo ya uzuri wa mwanamke siyo ya kudumu, inabadilika kulingana na nyakati.

Enzi za mabibi zetu wanawake wenye mwanya walionekana kuwa ndiyo warembo zaidi. Ikawalazimu bibi zetu kubomoa meno ya mbele ili kupata pengo litakalohesabika kama mwanya.

Enzi za mama zetu, wanawake wenye rangi ya mtume walionekana kuwa ndiyo wenye soko kubwa sana kwa wanaume. Ikawalazimu mama zetu kujichubua kwa kutumia mkorogo ili kuondoa rangi nyeusi waweze kuonekana weupe.

Katika enzi hizi, mwanamke mwenye chura anamiliki dunia yote. Akivaa nguo ikayaonesha vema makalio, basi kila atakapopita atatazamwa. Hii inawalazimu akina dada kuvaa vigodoro ili kuongeza ukubwa wa vikalio vyao asilia. Na wengine hupaka mafuta maalumu ya kukuza makalio maarufu kama "machina".

Na tunakoelekea "kiuno nyigu" ndiyo inaenda kuchukua nafasi ya makalio makubwa. Naona trend ya wadada kubana tumbo inakuja kwa kasi sana.
Huyo mtume ana rangi gani jamani, mbona tunapotoshana? Nijuavyo mimi mtume wangu ana rangi nyeusi kama yangu
 
Inategemea ''ntu na ntu''. Tangu zamani kulikuwa na msemo wa ''wowowo''. Na pia kulikuwa na ''kimobitel''. Kila mwanamme ana uchaguzi wake. Na zaidi wanaume wengi hawapendi kuoa wanawake wenye makalio makubwa. Utakuta wanawafanya kama maabara ya mazoezi tu.
Siku hizi wanaoa mkuu, vijana wa sasa huwaambii kitu. Wanaoa ili kutambiana..

Binafsi sipendelei mke bonge, ila hawa wanawake hawatabiriki unamua modo, umekaa nae mwaka tu anaanza kifumuka kama katiwa hamira.
 
Rangi nyeusi ni ya shetani tu. Mtume hawezi kuwa na rangi ya laana
Kwa akili yako unafikiri mtume hajalaanika? Mtu alikuwa mbakaji tu akilawiti vitoto kina Aisha, alibaka wake za watu na kulawiti wake zao, alibaka vikongwe, alichinja watu, alikuwa muongo kupindukia, alikuwa mtu wa wivu sana haswa kwa vitoto alivyokuwa anavilawiti, sifa zote hizi huyo mtume asikose laana kweli?
 
Back
Top Bottom