KERO Treni SGR imeziba njia za wa kazi Dodoma Makulu

KERO Treni SGR imeziba njia za wa kazi Dodoma Makulu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Ni jambo la kusikitisha kwa reli ya kimataifa kama hii ambayo inadaiwa kutumia viwango vya kimataifa kuziba njia za wakazi wa Makulu na kusababisha watu kuhama kwa muda kwani hakuna njia ya kuingilia wala kutokea serikali ifike haraka kutatua changamoto hio kwa wakazi wa Makulu Dodoma mjini.
 
Moja ya mradi mkubwa hapa nchini ambao umeleta faraja lakini kutomana na uzembe wa watu wachache umeleta majonzi kwa wakazi wa makulu dodoma kutokana na kuzibiwa njia na uzio wa sgr bila kuweka njia mbadala kupelekea watu kushindwa kufika makwao ni msaada wa haraka sana unahitajika hata picha nimeshindwa kupiga kwa hapafikiki
 
Hi ni changamoto ya maeneo mengi ilipopita reli ya SGR..
 
Back
Top Bottom