Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
- Thread starter
-
- #41
Hawajasema wataanza safari "sio muda mrefu.'Jamaa yangu yumo humo anasema wameambiwa wanaanza safari sio mida mrefu
Vituoni? Main way ni single track labda yagongane na ngedere.Hivi haya matreni yanavyobuma kila siku haiwezekani siku moja yakagongana?
hakuna haja ya kubabaika gentlemanMarekebisho ya kiufundi ?
Kifaa kipya!
Ufundi wa nini ???
Niliishi Brooklyn, New York. Subway lao limejengwa mwaka wa 1904.
Sijawahi kuona limekata moto.
La kwetu lina miezi miwili unusu. Kila siku linakata moto porini.
Tatizo nini ????
Kama sio bikra usioeImetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.
Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.
Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.
Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!
Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.
Tatizo nini?
Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.
****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) LINAOMBA RADHI KWA ABIRIA WA TRENI YA MCHONGOKO (EMU) WALIOANZA SAFARI YAO DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA SAA 2:00 ASUBUHI NA KUSIMAMA GHAFLA MAJIRA YA SAA 2:20 KATI YA PUGU NA SOGA
AIDHA, TUNAOMBA RADHI PIA KWA ABIRIA WETU WA TRENI YA SAA 11:15 ALFAJIRI KUTOKA DODOMA NA TRENI YA SAA 3:30 KUTOKA DAR ES SALAAM IKIJUMUISHA SAFARI NYINGINE ZA SIKU YA LEO AMBAZO ZIMEATHIRIWA KUFUATIA HITILAFU KWENYE MIFUMO YETU YA UENDESHAJI
MAFUNDI WETU WAKO ENEO LA TUKIO WANAFANYIA ΚΑΖΙ CHANGAMOTO HIYO, TUTAENDELEA KUWAPATIA TAARIFA
TUNATANGULIZA SHUKURANI
View attachment 3142521
Si vituoni, huko maporini.Vituoni? Main way ni single track labda yagongane na ngedere.
sasa si wawape kampuni binafsi tu waendeshe hilo tren wao wabakie kuratibu na kusimami tu..Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.
Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.
Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.
Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!
Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.
Tatizo nini?
Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.
****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) LINAOMBA RADHI KWA ABIRIA WA TRENI YA MCHONGOKO (EMU) WALIOANZA SAFARI YAO DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA SAA 2:00 ASUBUHI NA KUSIMAMA GHAFLA MAJIRA YA SAA 2:20 KATI YA PUGU NA SOGA
AIDHA, TUNAOMBA RADHI PIA KWA ABIRIA WETU WA TRENI YA SAA 11:15 ALFAJIRI KUTOKA DODOMA NA TRENI YA SAA 3:30 KUTOKA DAR ES SALAAM IKIJUMUISHA SAFARI NYINGINE ZA SIKU YA LEO AMBAZO ZIMEATHIRIWA KUFUATIA HITILAFU KWENYE MIFUMO YETU YA UENDESHAJI
MAFUNDI WETU WAKO ENEO LA TUKIO WANAFANYIA ΚΑΖΙ CHANGAMOTO HIYO, TUTAENDELEA KUWAPATIA TAARIFA
TUNATANGULIZA SHUKURANI
View attachment 3142521
Kuna kama hujma ktk hili viongozi wafatilie hiliImetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.
Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.
Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.
Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!
Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.
Tatizo nini?
Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.
****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) LINAOMBA RADHI KWA ABIRIA WA TRENI YA MCHONGOKO (EMU) WALIOANZA SAFARI YAO DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA SAA 2:00 ASUBUHI NA KUSIMAMA GHAFLA MAJIRA YA SAA 2:20 KATI YA PUGU NA SOGA
AIDHA, TUNAOMBA RADHI PIA KWA ABIRIA WETU WA TRENI YA SAA 11:15 ALFAJIRI KUTOKA DODOMA NA TRENI YA SAA 3:30 KUTOKA DAR ES SALAAM IKIJUMUISHA SAFARI NYINGINE ZA SIKU YA LEO AMBAZO ZIMEATHIRIWA KUFUATIA HITILAFU KWENYE MIFUMO YETU YA UENDESHAJI
MAFUNDI WETU WAKO ENEO LA TUKIO WANAFANYIA ΚΑΖΙ CHANGAMOTO HIYO, TUTAENDELEA KUWAPATIA TAARIFA
TUNATANGULIZA SHUKURANI
View attachment 3142521
Haya wenye mabasi fursa hiyo ,mkafaulishe sasaImetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.
Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.
Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.
Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!
Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.
Tatizo nini?
Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.
****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) LINAOMBA RADHI KWA ABIRIA WA TRENI YA MCHONGOKO (EMU) WALIOANZA SAFARI YAO DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA SAA 2:00 ASUBUHI NA KUSIMAMA GHAFLA MAJIRA YA SAA 2:20 KATI YA PUGU NA SOGA
AIDHA, TUNAOMBA RADHI PIA KWA ABIRIA WETU WA TRENI YA SAA 11:15 ALFAJIRI KUTOKA DODOMA NA TRENI YA SAA 3:30 KUTOKA DAR ES SALAAM IKIJUMUISHA SAFARI NYINGINE ZA SIKU YA LEO AMBAZO ZIMEATHIRIWA KUFUATIA HITILAFU KWENYE MIFUMO YETU YA UENDESHAJI
MAFUNDI WETU WAKO ENEO LA TUKIO WANAFANYIA ΚΑΖΙ CHANGAMOTO HIYO, TUTAENDELEA KUWAPATIA TAARIFA
TUNATANGULIZA SHUKURANI
View attachment 3142521
= gharama
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Umeweka msisitizo kwenye errors lakini huku kwetu ni human errors kwa kiasi kikubwa.Kama Boeing 737 max haina mwaka ilianguka Ethiopia,cha kushangaza nini,wanaojua maswala ya mechanics wanalijua hili,a machine is working to include an error.Vipi wale wanaokwenda kwenye anga za juu,chombo ni kipya na siku ya kulunch kinalipuka hewani!tuwe na subira kila kitu kitakaa sawa...
Mbona hata ma bus nayo huwa yanapata break down, vyombo vya moto kupata breakdown ni jambo la kawaida sana, kama wwe vile binaadamu kuumwa ni jambo la kawaida sana! Kanaumwa katoto kachanga ambako ndiyo binaadamu mpya huyo,itakua sembuse kitu cha mchongokoo!!Tunalishughulikia Wataondoka Tu
Buses Zinachukua Point 3
Tulipigwa treni la kizamani hiloShida ni treni jipya limekwama porini.
Kwa nini mitambo mipya inaharibika haribika ovyo ?
Limekuwa gari la mkaa ?
Hata lori la mkaa halikati moto porini likiwa jipya.
Tulinunua mitambo chakavu ? Kwa nini ma VX yao mapya hayakati moto porini ?
Siasa imeingia hadi kwenye vyombo vya usafiri ni shida tupu.Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.
Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.
Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.
Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!
Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.
Tatizo nini?
Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.
=====
Ufafanuzi wa TRC soma hapa: TRC yaomba radhi Treni ya Mchongoko Dar-Dodoma kusimama ghafla kati ya Pugu na Soga
Sawa nimekuelewa. Ukichosema kinaweza kabisa kutokea.Si vituoni, huko maporini.
Single track ndiyo inaweza kusababisha ajali zaidi, sasa kwa nini unasema single track ajali itakuwa na ngedere tu?