KERO Treni ya mchongoko Dar-Dodoma imeharibika porini toka saa 2 asubuhi kati ya eneo la Pugu na Soga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwa maoni yangu ilitakiwa waliotengeneza hizo treni na wanaotumia hiyo mifumo wawe hapa nchini kwa walau mwaka mmoja kuwasaidia vijana wetu kwenye uendeshaji, services and maintenances...
 
Tulipopiga kelele tukionekana maboya, sasa ni zamu yao kuonekana maboya
 
Kaka pole sana, tulipata taarifa umepta ajali tukatoa pole zetu kwa mshana natumai alizifikisha
Asante sana mkuu, salam nyingi sana zilinifikia na Mungu azidi kuwabariki sana
 
mwanzo mgumu. kwa waliotumia sgr watakubaliana kuwa tunatakiwa kutokatisha tamaa, ni hatua moja kubwa sana tumepiga. wenye A tatu watakuwa wameelewa. wengine povu ruksa.
 
Kila kipya huja na Changamoto zake, hongera sana TRC Kwa kuturahisishia kwenda na kurudi Dodoma.
 
🤣🤣🤣
Mungu ajalie nini na Wewe Bi Faiza ? Utawala huu unafeli kila kitu. Maji hakuna, Wachina wameshakuwa ni wamachinga, Taa za barabarani hazifanyi kazi, Takataka kila sehemu na hela za takataka halimashauri zinakusanya
 
Bora tatizo umeligundua mapema.
 
Ni changamoto tu za kawaida hizo...cha msingi wafanye manouver kwa hili mchongoko ,Dar --- Dom iwe masaa mawili na nusu tu!
 
Bora tatizo umeligundua mapema.
Upo coco beach unauliza baharini wapi?

 
Wee ...hiii ni siri....🤣🤣🤣uthitheme
 
Sa100 alishasema, atatumia Kodi zetu kununua Treni mtumba, mixer mpya Kwa Bei Moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…