KERO Treni ya mchongoko Dar-Dodoma imeharibika porini toka saa 2 asubuhi kati ya eneo la Pugu na Soga

KERO Treni ya mchongoko Dar-Dodoma imeharibika porini toka saa 2 asubuhi kati ya eneo la Pugu na Soga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Verrazanno

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
454
Reaction score
1,011
Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.

Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.

Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.

Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!

Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.

Tatizo nini?

Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.

=====
Ufafanuzi wa TRC soma hapa: TRC yaomba radhi Treni ya Mchongoko Dar-Dodoma kusimama ghafla kati ya Pugu na Soga
 
Mkuu jikite kwenye hoja nini shida!!

Maana umeongea vitu vingi kwa wakati mmoja tukujibu kipi sasa,

Kilichokwamisha safari yako ni hiyo SGR lakini ni kama una mambo mengi kichwani, lawama ni nyingi kuliko kilichokukwamisha.
 
Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.

Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.

Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.

Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!

Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.

Tatizo nini?

Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.
Hivi haya matreni yanavyobuma kila siku haiwezekani siku moja yakagongana?
 
Mkuu jikite kwenye hoja nini shida!!

Maana umeongea vitu vingi kwa wakati mmoja tukujibu kipi sasa,

Kilichokwamisha safari yako ni hiyo SGR lakini ni kama una mambo mengi kichwani, lawama ni nyingi kuliko kilichokukwamisha.

Shida ni treni jipya limekwama porini.

Kwa nini mitambo mipya inaharibika haribika ovyo ?

Limekuwa gari la mkaa ?

Hata lori la mkaa halikati moto porini likiwa jipya.

Tulinunua mitambo chakavu ? Kwa nini ma VX yao mapya hayakati moto porini ?
 
Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.

Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.

Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.

Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!

Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.

Tatizo nini?

Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.


****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA

Gentleman,
sasa ulitaka kifanyike nini zaidi ya matengenezo na marekebisho ya kiufundi ili hatimae safari iendelelee kwa usalama zaidi.

Lazima kua wastahimilivu, waangalifu na wenye subra sana kwenye masuala hususani ya usafiri wa kisasa unaotumia umeme 🐒
 
Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.

Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.

Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.

Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!

Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.

Tatizo nini?

Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.


****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) LINAOMBA RADHI KWA ABIRIA WA TRENI YA MCHONGOKO (EMU) WALIOANZA SAFARI YAO DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA SAA 2:00 ASUBUHI NA KUSIMAMA GHAFLA MAJIRA YA SAA 2:20 KATI YA PUGU NA SOGA

AIDHA, TUNAOMBA RADHI PIA KWA ABIRIA WETU WA TRENI YA SAA 11:15 ALFAJIRI KUTOKA DODOMA NA TRENI YA SAA 3:30 KUTOKA DAR ES SALAAM IKIJUMUISHA SAFARI NYINGINE ZA SIKU YA LEO AMBAZO ZIMEATHIRIWA KUFUATIA HITILAFU KWENYE MIFUMO YETU YA UENDESHAJI

MAFUNDI WETU WAKO ENEO LA TUKIO WANAFANYIA ΚΑΖΙ CHANGAMOTO HIYO, TUTAENDELEA KUWAPATIA TAARIFA

TUNATANGULIZA SHUKURANI

View attachment 3142521
Vumilieni, ni chombo hicho
 
Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.

Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.

Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.

Chombo ni kipya, mitambo ya umeme ni mipya, na umeme upo. Nadhani juzi TANESCO walisema tunakimbia na ziada, na maji pia, kama ilivyosemwa na DAWASCO siku tatu zilizopita. Lakini leo, Jumapili, maji yamekata!

Abiria wapo, hivyo operesheni na mtaji wa matengenezo vipo.

Tatizo nini?

Wazalendo ndani ya TRC, tafadhali tujulishe kupitia njia zetu za kujuzana. Viongozi watatudanganya. Hawana dini. Waliwahi kusema Rais ametingwa na kazi Ikulu, kumbe ameshanyooka. Na waliongelea msikitini. Astakafullulilah Ladhim.


****
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA RELI TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA
SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) LINAOMBA RADHI KWA ABIRIA WA TRENI YA MCHONGOKO (EMU) WALIOANZA SAFARI YAO DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA SAA 2:00 ASUBUHI NA KUSIMAMA GHAFLA MAJIRA YA SAA 2:20 KATI YA PUGU NA SOGA

AIDHA, TUNAOMBA RADHI PIA KWA ABIRIA WETU WA TRENI YA SAA 11:15 ALFAJIRI KUTOKA DODOMA NA TRENI YA SAA 3:30 KUTOKA DAR ES SALAAM IKIJUMUISHA SAFARI NYINGINE ZA SIKU YA LEO AMBAZO ZIMEATHIRIWA KUFUATIA HITILAFU KWENYE MIFUMO YETU YA UENDESHAJI

MAFUNDI WETU WAKO ENEO LA TUKIO WANAFANYIA ΚΑΖΙ CHANGAMOTO HIYO, TUTAENDELEA KUWAPATIA TAARIFA

TUNATANGULIZA SHUKURANI

View attachment 3142521
Kawaida. Hakuna kitu 100% perfect duniani.
 
FB_IMG_1722425559931.jpg
 
Back
Top Bottom