Treni ya Mizigo iliyobeba Kemikali yapinduka Morogoro

Treni ya Mizigo iliyobeba Kemikali yapinduka Morogoro

Na hili ndo litasababisha SGR isirudishe faida mapema.
 
Mabehewa 22 ya Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) yamedondoka mkoani Morogoro yakiwa na kemikali tani 1,099 za Sulphur Dioxide.

Wataalamu kutoka katika mamlaka mbalimbali za serikali wapo katika jitihada za kudhibiti madhara ya kemikali hizo kwa binadamu na wanyama baada ya treni hiyo kupata ajali katika eneo la Lumumwe, Halmashauri ya Mlimba wilayani Kilombero ikitokea Dar es Salaam kuelekea Zambia.

Mkuu wa kitengo cha Usalama Shirika la Reli Tazara nchini Tanzania anayesimamia Kituo cha Mlimba Amani Mboliko amesema ajali hiyo imetokea baada ya hitilafu katika mfumo wa breki, na hivyo injini ilishindwa kuvuta behewa zote na kuifanya irudi nyuma kwa zaidi ya kilometa nane na kusababisha mabehewa yote kuanguka.

Meneja Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati, Gerald Merinyo anasema tayari jitihada za kuhakikisha kemikali yote iliyomwagika inaondolewa zinaendelea kufanyika kupitia wataalamu mbalimbali.
View attachment 2435822
Ashukuruwe Mungu ni mabehewa ya mizigo na si abiria.🤲🙏🙏
 
Serikali gani?

Kipaumbele cha Ufipa st ni Katiba mpya ambayo wahusika ni Wananchi Siyo Serikali
Tatizo kuna mtu kauliza hakuna tuhuma yoyote ya hujuma hapo,

Wewe ukajibu ufipa st wote wapo ulaya. Hapa inaonekana wewe kuna kitu unakijua sasa kaa tayari kulisaidia jeshi la polisi. Jiandae muda si mrefu tutakuja kukuchukua kwa mahojiano zaidi
 
Tatizo kuna mtu kauliza hakuna tuhuma yoyote ya hujuma hapo,

Wewe ukajibu ufipa st wote wapo ulaya. Hapa inaonekana wewe kuna kitu unakijua sasa kaa tayari kulisaidia jeshi la polisi. Jiandae muda si mrefu tutakuja kukuchukua kwa mahojiano zaidi
Hahaha........ Ufipa st?!!!

Ni mtaa mrefu sana
 
Kwa Bei ya Jana tar 3/12/2022
KWA soko la hapa hapa tanzania

Kilo Moja ya sulphur dioxide
-ya unga- 236 USD= 545,000 TSH
-Ya mawe - 226 USD= 520,000 Tsh

Nawaza upotee na Lile pipa Moja tu la kilo 100 utakua Bei gan hapo ukiuza Bei ya hasara Chap chap[emoji848]
Soko lake lipo wapi?

Wanunuzi unawajua?
 
Sulphur Dioxide niliiona imemwagika kutoka kwenye Lori pale Chalinze pembeni yake akinamama lishe wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.
Mkuu, unless nimesahau chemistry yangu ! Sulphur Dioxide (SO2) inaexist as gas, sasa itamwagika vipi muone? Pia hii ndude ina pungent smell, ikiwa released huwez kukaa karibu as utapata irritation ( 2SO2 + 2H2O in your nose mucus+ O2 unayovuta= 2H2SO4 (sulphuric acid) ambayo ingeku-irritate pua!

I doubt Hata hii story ya mleta mada, maana I expected kuona mabehewa ambayo ni tankers za gas if actually kilichokuwa kimebebwa ni sulphur dioxide!
 
Hio MGR imefanyiwa rehabilitation ht miaka miwili haijaisha...700B za world bank zimelala hapo...hii hujuma ya waziwazi...tumerudi kihujumu reli ili maroli yao yapate soko...Watanzania tuna safari ndefu sana
Mkuu ni nani aliwadangaya kuwa reli inaweza kureplace maroli? Huu uongo mliaminishwa na mwendazake kwa chuki zake binafsi na ukawaingia akilini watamzania wengi
Kwa taarifa tu , sweden ni moja ya nchi yenye rail network kubwa na bado hawajafanikiwa kutoa lori barabarabarani, infanct ndo kunatengenezwa volvo na scania .

Unaweza kuwa na hoja ya hujuma lakini sio kwa mantiki yako
 
Mkuu, unless nimesahau chemistry yangu ! Sulphur Dioxide (SO2) inaexist as gas, sasa itamwagika vipi muone? Pia hii ndude ina pungent smell, ikiwa released huwez kukaa karibu as utapata irritation ( 2SO2 + 2H2O in your nose mucus+ O2 unayovuta= 2H2SO4 (sulphuric acid) ambayo ingeku-irritate pua!

I doubt Hata hii story ya mleta mada, maana I expected kuona mabehewa ambayo ni tankers za gas if actually kilichokuwa kimebebwa ni sulphur dioxide!
Uko sahihi nilicchokiona mimi ni Sulphur
 
Mkuu, unless nimesahau chemistry yangu ! Sulphur Dioxide (SO2) inaexist as gas, sasa itamwagika vipi muone? Pia hii ndude ina pungent smell, ikiwa released huwez kukaa karibu as utapata irritation ( 2SO2 + 2H2O in your nose mucus+ O2 unayovuta= 2H2SO4 (sulphuric acid) ambayo ingeku-irritate pua!

I doubt Hata hii story ya mleta mada, maana I expected kuona mabehewa ambayo ni tankers za gas if actually kilichokuwa kimebebwa ni sulphur dioxide!
Ukiona hivyo basi ujue kuna kitu more sinister wamekificha
 
Back
Top Bottom