johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wanahudhuria mikutano mbalimbaliUnamaanisha nini kwa kauli hako hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanahudhuria mikutano mbalimbaliUnamaanisha nini kwa kauli hako hiyo?
Unamaanisha kwamba ktk hiyo mikutano ndimo munapangwa hujuma mbalimbali dhidi ya serikali?Wanahudhuria mikutano mbalimbali
Serikali gani?Unamaanisha kwamba ktk hiyo mikutano ndimo munapangwa hujuma mbalimbali dhidi ya serikali?
🤣🤣🤣Serikali gani?
Kipaumbele cha Ufipa st ni Katiba mpya ambayo wahusika ni Wananchi Siyo Serikali
Ashukuruwe Mungu ni mabehewa ya mizigo na si abiria.🤲🙏🙏Mabehewa 22 ya Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) yamedondoka mkoani Morogoro yakiwa na kemikali tani 1,099 za Sulphur Dioxide.
Wataalamu kutoka katika mamlaka mbalimbali za serikali wapo katika jitihada za kudhibiti madhara ya kemikali hizo kwa binadamu na wanyama baada ya treni hiyo kupata ajali katika eneo la Lumumwe, Halmashauri ya Mlimba wilayani Kilombero ikitokea Dar es Salaam kuelekea Zambia.
Mkuu wa kitengo cha Usalama Shirika la Reli Tazara nchini Tanzania anayesimamia Kituo cha Mlimba Amani Mboliko amesema ajali hiyo imetokea baada ya hitilafu katika mfumo wa breki, na hivyo injini ilishindwa kuvuta behewa zote na kuifanya irudi nyuma kwa zaidi ya kilometa nane na kusababisha mabehewa yote kuanguka.
Meneja Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati, Gerald Merinyo anasema tayari jitihada za kuhakikisha kemikali yote iliyomwagika inaondolewa zinaendelea kufanyika kupitia wataalamu mbalimbali.
View attachment 2435822
Tatizo kuna mtu kauliza hakuna tuhuma yoyote ya hujuma hapo,Serikali gani?
Kipaumbele cha Ufipa st ni Katiba mpya ambayo wahusika ni Wananchi Siyo Serikali
Hahaha........ Ufipa st?!!!Tatizo kuna mtu kauliza hakuna tuhuma yoyote ya hujuma hapo,
Wewe ukajibu ufipa st wote wapo ulaya. Hapa inaonekana wewe kuna kitu unakijua sasa kaa tayari kulisaidia jeshi la polisi. Jiandae muda si mrefu tutakuja kukuchukua kwa mahojiano zaidi
Soko lake lipo wapi?Kwa Bei ya Jana tar 3/12/2022
KWA soko la hapa hapa tanzania
Kilo Moja ya sulphur dioxide
-ya unga- 236 USD= 545,000 TSH
-Ya mawe - 226 USD= 520,000 Tsh
Nawaza upotee na Lile pipa Moja tu la kilo 100 utakua Bei gan hapo ukiuza Bei ya hasara Chap chap[emoji848]
Mkuu, unless nimesahau chemistry yangu ! Sulphur Dioxide (SO2) inaexist as gas, sasa itamwagika vipi muone? Pia hii ndude ina pungent smell, ikiwa released huwez kukaa karibu as utapata irritation ( 2SO2 + 2H2O in your nose mucus+ O2 unayovuta= 2H2SO4 (sulphuric acid) ambayo ingeku-irritate pua!Sulphur Dioxide niliiona imemwagika kutoka kwenye Lori pale Chalinze pembeni yake akinamama lishe wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.
Mkuu ni nani aliwadangaya kuwa reli inaweza kureplace maroli? Huu uongo mliaminishwa na mwendazake kwa chuki zake binafsi na ukawaingia akilini watamzania wengiHio MGR imefanyiwa rehabilitation ht miaka miwili haijaisha...700B za world bank zimelala hapo...hii hujuma ya waziwazi...tumerudi kihujumu reli ili maroli yao yapate soko...Watanzania tuna safari ndefu sana
Uko sahihi nilicchokiona mimi ni SulphurMkuu, unless nimesahau chemistry yangu ! Sulphur Dioxide (SO2) inaexist as gas, sasa itamwagika vipi muone? Pia hii ndude ina pungent smell, ikiwa released huwez kukaa karibu as utapata irritation ( 2SO2 + 2H2O in your nose mucus+ O2 unayovuta= 2H2SO4 (sulphuric acid) ambayo ingeku-irritate pua!
I doubt Hata hii story ya mleta mada, maana I expected kuona mabehewa ambayo ni tankers za gas if actually kilichokuwa kimebebwa ni sulphur dioxide!
Ulipovutia nipeleke na mimi hahahahaha. Na traffic watakuwa wamesababishaPoleni sana hiyo bara bara naijua ina matuta sana, nashauri shirika la reli wapunguze matuta
Vichwa vilivyokuwq vinavuta hayo mabehewq ni vya kichina.Vilofeli kupandq mlima.Bingekuwq ni vile vya ulaya،shida hiyo isingejitokezaKuna haja kwa treni zinazotumika kununuliwa zikiwa mpya na sio mitumba ili kulinda maisha na mali.
Nahisi ipo kwenye powder na si liquidHiyo kemikali ukiwa na kama ndoo mbili tatu bei ya soko inakuwaje ?
Ukiona hivyo basi ujue kuna kitu more sinister wamekifichaMkuu, unless nimesahau chemistry yangu ! Sulphur Dioxide (SO2) inaexist as gas, sasa itamwagika vipi muone? Pia hii ndude ina pungent smell, ikiwa released huwez kukaa karibu as utapata irritation ( 2SO2 + 2H2O in your nose mucus+ O2 unayovuta= 2H2SO4 (sulphuric acid) ambayo ingeku-irritate pua!
I doubt Hata hii story ya mleta mada, maana I expected kuona mabehewa ambayo ni tankers za gas if actually kilichokuwa kimebebwa ni sulphur dioxide!