Treni ya Mkaa EAR

Duh !
Umenikumbusha mbali sana mkuu,hivi ile treni ya moshi bado ipo ? Sijafika cku nyingi huko mkuu
 
Hiyo gari moshi moja ipo pale TRC,inatumika kwa kazi ndogo ndogo tu.
 
Nakumbuka enzi za radio moja, chama kimoja, usafiri mmoja wacha tu, enzi hizo tulikua tunakula pipi bila maganda mpo hapoo!!
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu!nashukuru kwa taarifa!!
 
Sawa mkuu!!naona wewe maharabu wa Jodan!karibu kwetu shehe,kwetu chai yaungwa nazi!!!

jordan mbali kaka! chai ya nazi kwake kabsaaa....natoka oga maji yalo ungwa....ushawahi weye?
 
jordan mbali kaka! chai ya nazi kwake kabsaaa....natoka oga maji yalo ungwa....ushawahi weye?

kUMBE KULE WAJA LEO WARUDI LEO!MKUU UKO HATARI SANA NASIKIA HUKO UKIINGIA UTOKI TENA!UNAKOGESHWA MAJI YALIWEKWA IRIKI HUKU KORODANI ZIKIWA NDANI YA KISOSI CHA CHAI!INATISHA!!
 
kumbe kule waja leo warudi leo!mkuu uko hatari sana nasikia huko ukiingia utoki tena!unakogeshwa maji yaliwekwa iriki huku korodani zikiwa ndani ya kisosi cha chai!inatisha!!

cha kutisha nini hapo weye? Usha fungwa mgongoni ka mtoto weye? Huku nilikuja na kiji mtaji changu cha nazi nikakosa hata nauli ya kurudi kwetu mwanza
 
Tulizipanda hizo sana. Enzi hizo train yenye engine hiyo ya abiria ilikuwa inaitwa 'mail train', na nyingine yenye engine ndogo ilikuwa inaitwa 'sentikaa'. Nakumbuka tulikuwa tunamkwepa TTE (ticket examiner) maana mara nyingi tulikuwa tunatumia ticket zilizo expire!
 

Kaka...huyu TRAVEL TICKET EXAMINER(TTE)...alikuwa balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…