pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
-
- #21
Utawaelewa tu hawa jirani zetu hiyo ndio fani ambayo baadhi yao wamebobea. Wivu na majungu, hata wao kwa wao pia huwa wanaekana chini kweli kweli, wanapoona tu mmoja wao akijaribu kuinua kichwa chake juu zaidi ya wenzake.Hakuna kuweka sawa ni majungu na wivu tu, nakuelewa kakake/dadake Ichoboy..,
why are they comparing mangoes and orangesMbona umesahau kuongeza na kilomita??? Maanake mkikosa treni la kulinganisha nalo mnaruka kwenye BRT. BRT inachapa safari za masafa marefu? Tokomea gizani. Matatu za Nairobi kwa masaa kumi na mawili pekee yake zinaingiza hela zinaoingiwa na BRT ya Dar kwa mwezi.
why are they comparing mangoes and oranges
nugu ni wewe,nyanyako,mamako,babako na malaya wote wako shoga weweNuggu,kwani bas moja ya BRT inapiga route za km ngapi kwa siku??au hujaelewa kabisa tuusan nini alimaanisha??
nugu ni wewe,nyanyako,******,babako na malaya wote wako shoga wewe
nani anaelewa madafu money aweke 'transleshioni' hapa?? hii noogle inatwambia 61million madafu money ni sawa na usd 26million. hii uchawi ya bongo ni Kali.Hebu tuongee na ninyi wakenya mpate kujua usafiri kwa upande wa Dar to Dodoma.
Tuanza:-
Kila siku Mabasi ya Shabby Hutoka Dar mabasi 6 na hutoka Dodoma mabasi 6
Mabasi ya Shabby hubeba abiria 60+
Sasa tuchukue wastani wa abiria 50 so kwa mwaka Shabby pekee itabeba abiria
60x12x365 = 219,000
Kuna kampuni zaidi ya 10 zinafanya biashara ya kusafirisha abiria kati ya Dar na Dodoma.
Kuna companies zina mabasi zaidi ya 12 kwa siku.
Sasa tuseme kila company inabeba abiria kwa wastani wa 150,000 kwa mwaka maaba yake 10x150,000 =(1,500,000 + 219,000)
Total itakuwa 1,719,000 kwa mwaka.
For two year inakuwa 1,719,000x2 = 3,438,000 abiria.
Nauli ya kwenda Dodoma ni wastani wa Tsh. 18,000 so kwa miaka miwili revenue itakuwa
3,438,000x18,000 = 61,884,000,000
Ni sawa na USD 26,868,795.12
Tunataka kujua nauli ya SGR toka Mombasa kuja Nairobi.
Mbona hamuulizi dreamliner kwa mwezi inaingiza kiasi gani, the thing sisi watanzania ni kama wachawi wewe watoto wako wamezaa bila harusi lakini kutwa kumsema mtoto wa jirani, Malaya Yule. That is a true definition ya mtanzania, full majigambo, empty promises, na wengi empty stomachsAchana naye huyo, itakuwa vigumu sana kujadili na watu kama hao ambao huwa wanajiita wataalamu wa masuala yote chini ya jua, kwenye mitandao. Nikimuambia anafanya mahesabu maandas kutumia nauli isiyo ya kweli, anahama kwenye mambo ya sijui huduma ya treni la abiria Kenya lina miaka miwili, wakati uzinduzi wake ulikuwa ni Mei mwaka jana. 'Mtaalamu' ambaye hana ufahamu wa takwimu na 'facts' za mambo ya msingi kwenye hoja anayoiongelea ni mtu mwenye mambo yake na ni wa kupuuzwa tu.