Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Bora kusema kweli hautasutwa kesho kuliko kudanganya ili usisiwe kwani kesho utasutwa, lakini unapoanza anza na kipya kuliko kuanza na mitumba wakati pesa ya kununua kipya unazo.Kaka hizi zote ni hatua tuko ya kwanza tunaelekea ya pili tutafika ya tatu.
Bora kitu kuliko kukosa kitu, sisi tuishi na tutoe mawazo yetu sehemu husika ipo siku tutakuwa kama wale, tujipe muda kwani ni mwalimu sahihi.
Kwangu ni mafanikio kwani tumetoka 0 tupo 1, hope tutafika 3.
Wangenunua kwa pesa zao tusingejibishana hapa, hiyo pesa unayosema nitafute kati yake imenunua SGR.Umeshadanganywa vingapi nchi hii?huku ni Afrika haiwezekani ikawa kama ulaya,we tafuta hela ya kula maisha yaendelee...
Ndege gani uliambiwa mafuta yakikata itaendelea kuruka! Tusipende kuambiwa uongo na tukafurahia kudanganywa.Uzuri nchi hii kuna option nyingi sana, kuna ndege, ma bus na SGR ni mtu kuamua tu hapa nimepigwa napanda huku lakini leo hii unaweza kwenda kukata ticket full train 4 daily zaidi ya watu alfu 3 wanaingia na kutoka ukiangalia data ni mafanikio kuliko hizi changamoto. Hata ndege huwa zinachelewa sana tu lakini watu wanakubali ni changamoto
Wamezoea sana yaan siku hizi waandishi wengi humu mitandaoni utakuta mtu anaandika kitu hata hajashuhudiaWa Tanzania gubu sasa unajuwa umeme umekatika shida nini? utasema kitu cha ajabu sana nchi nzima umeme umekatika sehemu kubwa kwa hiyo kusubiri tu imekuwa shida? Basi na siku zingine kukiwa hakuna shida zinafika salama muwe mnaandika sio negative tu.
Wapi nimeandika ndege haina mafuta? nimekwambia hata ndege zinachelewa kwa sababu zake za kindege na tunakubali delays wakati mwingine wala sio sababu za msingi unaambiwa tu sababu za kiufundi, sasa cha ajabu nini delay ya Train tena tunajuwa sababu ni nini? acheni hizo porojo zenu. Train inasafirisha maelfu ya watu daily salama hamuoni ila hitilafi zikotokea mnajitokeza.Ndege gani uliambiwa mafuta yakikata itaendelea kuruka! Tusipende kuambiwa uongo na tukafurahia kudanganywa.
Wako watu na chuki tu hawatakii mema nchi hii, kosoa ili kuboresha na uhakika kuna watu na hiyo SGR wamefika kabla hata yule aliyetoka Gongo la Mboto kwenda Mbezi.Wamezoea sana yaan siku hizi waandishi wengi humu mitandaoni utakuta mtu anaandika kitu hata hajashuhudia
Yaan wanaombea leo kesho SGR ife mi nazan hawa ni makondakta wa mabasi yale yanayoelekea SGR inapita kwahyo ugali wao unapunguaWako watu na chuki tu hawatakii mema nchi hii, kosoa ili kuboresha na uhakika kuna watu na hiyo SGR wamefika kabla hata yule aliyetoka Gongo la Mboto kwenda Mbezi.
BUNDI,NYANI NA FISI WAKAMATWE HARAKA.Treni ya SGR iliyokuwa inatoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma imekwama kwenye Stesheni ya Kilosa baada ya Umeme kukatika, tuko hapa tunasubiri umeme urudi ndio safari iendelee, tumeambiwa Grid ya Taifa imezima.."
Kabla hayajafika tulishauri haya Madude yaje na "Power bank" lakini Mfumgwa wetu mtarajiwa Bwana Kadogosa akasema umeme ukikatika yanatumia Diesel.
Haya Kiko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....?
Pia soma ~ TRC: Treni za SGR zilisimama maeneo matatu tofauti kutokana na hitilafu ya umeme katika Gridi ya Taifa
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa, amesema wananchi waondoe hofu "kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme katika safari za treni inayotumia umeme akisema treni hiyo ina mkondo wa umeme unaojitegemea.Hayo yamesemwa Februari 26, 2024".Wapi nimeandika ndege haina mafuta? nimekwambia hata ndege zinachelewa kwa sababu zake za kindege na tunakubali delays wakati mwingine wala sio sababu za msingi unaambiwa tu sababu za kiufundi, sasa cha ajabu nini delay ya Train tena tunajuwa sababu ni nini? acheni hizo porojo zenu. Train inasafirisha maelfu ya watu daily salama hamuoni ila hitilafi zikotokea mnajitokeza.
Nadhani tunamjadili mtu sasa sio issue, ok nakubaliana yeye mkurugenzi anajadiliwa kwa kauli zake ni wajibu wake kutoa ufafanuzi kama yeye.Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa, amesema wananchi waondoe hofu "kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme katika safari za treni inayotumia umeme akisema treni hiyo ina mkondo wa umeme unaojitegemea.Hayo yamesemwa Februari 26, 2024".
Mtanikumbuka!!!OTE="Geza Ulole, post: 52151595, member: 19620"]
Tatizo mwizi Kadogosa alisema treni itakuwa ikihifadhi umeme wake endapo umeme utakatika, kiko wapi?
View: https://youtu.be/3pByESZbTZc?si=e0bsYnqEcomQ1cVN
Kaka tusiwalaumu hao wenye nafasi kwa sasa, najua kukosoa ni kazi rahisi sana lakini ngumu nikuwa katika hiyo nafasi.Bora kusema kweli hautasutwa kesho kuliko kudanganya ili usisiwe kwani kesho utasutwa, lakini unapoanza anza na kipya kuliko kuanza na mitumba wakati pesa ya kununua kipya unazo.
Ni bahati kwa NGEDERE, maana huwa wansingiziwa sana wao aiseeeh!...π₯²Mna bahati umeme haujakatika mkiwa porini