Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Bora kusema kweli hautasutwa kesho kuliko kudanganya ili usisiwe kwani kesho utasutwa, lakini unapoanza anza na kipya kuliko kuanza na mitumba wakati pesa ya kununua kipya unazo.Kaka hizi zote ni hatua tuko ya kwanza tunaelekea ya pili tutafika ya tatu.
Bora kitu kuliko kukosa kitu, sisi tuishi na tutoe mawazo yetu sehemu husika ipo siku tutakuwa kama wale, tujipe muda kwani ni mwalimu sahihi.
Kwangu ni mafanikio kwani tumetoka 0 tupo 1, hope tutafika 3.