Treni ya SGR, Tukiamua kufanya Vitu vya Kisasa tuvifanye kwenye ukisasa wake

Treni ya SGR, Tukiamua kufanya Vitu vya Kisasa tuvifanye kwenye ukisasa wake

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
 
Hicho kituo cha taxi sijui daladala au bodaboda nazo zitakuwa za SGR?!
 
Wasiwasi wangu, mwanzo unaweza kuwa sio kaati au mwishoni

Haya yote mazuri mwanzo, huko katikati na mwishoni ndio hofu yangu ilipo. Sioni mbeleni vile ilivyo sasa na vile tunatamani/natamani
 
CCM watengeneze na treni za kupita ndani ya bahari kama ulaya, au daraja la kufunga na kufungua pale kivukoni kigamboni kama marekani. 😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
Mbona unakua kama mgeni na sisiemu?
 
Binafsi siwezi muonea huruma masikini maana lengo lake sio kuendelea bali kuharibu.
Tanzania imeharibiwa na masikini

Ujenzi holela wote ni sababu ya masikini
 
Mie siwalaumu Wananchi nailaumu Serikali. Serikali ndo inatakiwa kuweka na kusimamia miongozo ambayo wananchi wanapaswa kuishi wakiifuata!

Kama Serikali inashindwa kuweka na kusimamia miongozo basi Serikali yetu ndo ya kulaumiwa.
Binafsi siwezi muonea huruma masikini maana lengo lake sio kuendelea bali kuharibu.
Tanzania imeharibiwa na masikini

Ujenzi holela wote ni sababu ya masikini
 
CCM watengeneze na treni za kupita ndani ya bahari kama ulaya, au daraja la kufunga na kufungua pale kivukoni kigamboni kama marekani. 😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Wakitengeneza hizo unawez kuambiw bil kuoga upandi🥺🥺🥺
 
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
Kigwangala ni fala tu, wachana nae poyoyo yule.
 
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
Kigangwala ni lile group la wezi wa mali za nchi hii ana wenzie watatu wao bado bahati zinaendelea kuwangukia wanaongoza wizara!
 
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
Kigwangala amezungumzia uhalisia wa watu wa jamii yake,ustaarabu wa hii treni utaishia hapo Dodoma,itakapoanza kwenda huko Kanda ya ziwa lazima watalazimisha wapande na bata au kuku kama wanavyofanya kwenye mabasi,la sivyo watasusa kupanda hiyo treni.
 
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
Wabongo mmezidi sana ujuaji ujuaji. Kila kitu ujuaji tuu.

FANYENI KAZI
 
Kigwangala amezungumzia uhalisia wa watu wa jamii yake,ustaarabu wa hii treni utaishia hapo Dodoma,itakapoanza kwenda huko Kanda ya ziwa lazima watalazimisha wapande na bata au kuku kama wanavyofanya kwenye mabasi,la sivyo watasusa kupanda hiyo treni.
Maendeleo yanatakiwa kumstaarabisha mwanadamu. Sio kumfanya aendeleze upuuzi na ujinga wake
 
Umasikini sio sifa, umasikini sio jambo la kujivunia.

Siku zote tunapaswa kuwaongoza wananchi wetu ili wauchukie umasikini na wapende kuwa na maendeleo.

Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.

Nipende kuwapa moyo TRC. Msikate tamaa, endeleeni na misimamo yenu maana misimamo yenu ndiyo itakayohakikisha mradi ule unakuwa na ubora wake kwa muda mrefu. Tukianza kuruhusu mambo ya ajabu katika mradi huu, mradi huu utaharibiwa mapema sana na hawa wanasiasa wajinga watakuja kuwasema kuwa ham kuchukua hatua stahiki hadi kupelekea mradi kuharibika.

Nirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?

Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?

Hivi mlishindwa hata kutengeneza kituo kidogo tu cha daladala na Taxi/ Bajaji na kuweka sehemu nzuri ya wafanyabiashara kufanya biashara kwa staha na usafi hadi mnafanya mama ntilie wanabeba vyakula na kuweka chini kwenye stand ya mradi uliogharimu matrilioni ya Pesa??

Hivi kusema kweli huko Serikalini hakuna watu wenye akili timamu wanaoweza kuamua kufanya vitu kwa viwango na ubora hadi tunakuwa watu wa hovyo kiasi hiki?


Mnasikitisha sana!

Pia soma:Mabegi ya 'shangazi kaja' marufuku kwenye kwenye treni ya SGR
Picha ya SGR Morogoro wapi?
 
Back
Top Bottom