Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Upo wapi? Hujui hata kutumia simu yako? Taarifa zote zipo kiganjani siku hiziPicha ya SGR Morogoro wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapi? Hujui hata kutumia simu yako? Taarifa zote zipo kiganjani siku hiziPicha ya SGR Morogoro wapi?
Ndani ya ccm unapigia mbuzi gitaNirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?
We have a failed governmentNirudi kwa Serikali yangu.
Hivi inakuwaje mnaanzisha safari ya kutoka Dar- Morogoro wakati morogoro ham kufanya maandalizi ya uhakika kujenga kituo cha kisasa cha taxi, dalalala pamoja na pikipiki bila kusahau barabara nzuri za uhakika kutoka kituo cha kushusha abiria cha Morogoro hadi barabara kuu?
Hivi mnadhani watanzania wanajiskiaje mkipeleka wasanii Korea kwa kodi zao huku mkishindwa kutengeneza barabara ya umbali mfupi tu hadi kufanya abiria anatoka kwenye usafiri mzuri alafu anaingia kula mavumbi?
Na wote hao ni genge la ccm na wewe ukiwemoKigangwala ni lile group la wezi wa mali za nchi hii ana wenzie watatu wao bado bahati zinaendelea kuwangukia wanaongoza wizara!
TotalWe have a failed government
Nashindwa kuelewa hii Serikali yetu ina vipaumbele gani? How comes mradi kama huu unakosa kupewa priority alafu wanapewa priority wasanii kupelekwa Korea?Vile vile kituo cha SOGA Barabara yake inayotokea Kongowe ni mbovu kupita kiasi, Maana kituo hicho kingehudumia wakazi wote wa kibaha, Bagamoyo hadi Mbezi
Wasipoelewa saivi kuna kizazi kipo njiani kitawaelewesha kwa fujoNdani ya ccm unapigia mbuzi gita
Mimi nikiwemo wewe unatokaje!Na wote hao ni genge la ccm na wewe ukiwemo
Huyu Kigwangala mbona hakutoa ushauri kama huu kwenye bombardier?Nimesikitishwa sana na maneno aliyosema Dr Hamis Kigwangala kule twitter kupinga vigezo vilivyowekwa na kampuni yetu ya TRC kukataza watu kupanda na wanyama pamoja na vitu ambavyo vinaweza kusababisha mradi ukose utunzaji mzuri na hatimaye kuharibiwa kutokana na kukosa tu umakini.
Anaendekezaga sana ujingaHuyu Kigwangala mbona hakutoa ushauri kama huu kwenye bombardier?
Kweli kabisa! Ustaarabu ndo kipimo kizuri cha utu wetu na heshima yetu kama binadamu!Sema kuna raha yake sehemu inapokuwa na utaratibu unaofuatwa. Nawaza pale Kariakoo pangekuwa pamepangiliwa vizuri kusingekuwa na msongamano vile. Serikali ikijaribu kuwaondoa wanaopanga bidhaa barabarani tunaaandamana tukidai wanyonge tunaonewa.
Pia kuhusu aina za mifuko wangetoa muongozo mmbadala wake ni upi wasiishie tu kupiga marufuku.
Sote tunatafuta pesa, tusitumie "unyonge" wetu kuharibu taratibu za mtoa huduma as long as zinaleta matokeo chanya.
Unaweza kuwa na hojaWe have a failed government
Inatumia matatizo ya wananchi kama fursa