Treni ya SGR, Tukiamua kufanya Vitu vya Kisasa tuvifanye kwenye ukisasa wake

Ndani ya ccm unapigia mbuzi gita
 
Vile vile kituo cha SOGA Barabara yake inayotokea Kongowe ni mbovu kupita kiasi, Maana kituo hicho kingehudumia wakazi wote wa kibaha, Bagamoyo hadi Mbezi
 
We have a failed government
Inatumia matatizo ya wananchi kama fursa
 
Vile vile kituo cha SOGA Barabara yake inayotokea Kongowe ni mbovu kupita kiasi, Maana kituo hicho kingehudumia wakazi wote wa kibaha, Bagamoyo hadi Mbezi
Nashindwa kuelewa hii Serikali yetu ina vipaumbele gani? How comes mradi kama huu unakosa kupewa priority alafu wanapewa priority wasanii kupelekwa Korea?
 
Huyu Kigwangala mbona hakutoa ushauri kama huu kwenye bombardier?
 
Sema kuna raha yake sehemu inapokuwa na utaratibu unaofuatwa. Nawaza pale Kariakoo pangekuwa pamepangiliwa vizuri kusingekuwa na msongamano vile. Serikali ikijaribu kuwaondoa wanaopanga bidhaa barabarani tunaaandamana tukidai wanyonge tunaonewa.

Pia kuhusu aina za mifuko wangetoa muongozo mmbadala wake ni upi wasiishie tu kupiga marufuku.

Sote tunatafuta pesa, tusitumie "unyonge" wetu kuharibu taratibu za mtoa huduma as long as zinaleta matokeo chanya.
 
Kweli kabisa! Ustaarabu ndo kipimo kizuri cha utu wetu na heshima yetu kama binadamu!

Ni lazima tuanze kuchukua hatua saivi ili kuwastaarabisha watu wetu wajifunze kufanya vitu kiustaarabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…