pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,229
Hodiiii Wanasheria na wadau wengine washeria.
Katika kusoma soma kwangu na kuperuzi ishu za kisheria na mifumo ya kimahakama, nikagundua kuwa kuna mifumo hii miwili, Trial by jury na Bench Trial.
Naomba kwa mdau anaeifaham vizur, aweze kunielekeza, naman ambavyo kila mfumo unafanya kazi, na upi ni mzuri na hapa kwetu Tz tunatumia mfumo gani??
Nimeona kwenye baadhi ya TV series za US zinazohusu sheria sheria (mf. Justice ya mwaka 2006) nikagundua kule wanatumia Trial by jury. na nimeipenda hii system, nataka jua mapungufu yake na mazuri yake kwa kulinganisha na bench trial. na hapa kwetu tunatumia ipi na kwa nini???.
Thanks.
Katika kusoma soma kwangu na kuperuzi ishu za kisheria na mifumo ya kimahakama, nikagundua kuwa kuna mifumo hii miwili, Trial by jury na Bench Trial.
Naomba kwa mdau anaeifaham vizur, aweze kunielekeza, naman ambavyo kila mfumo unafanya kazi, na upi ni mzuri na hapa kwetu Tz tunatumia mfumo gani??
Nimeona kwenye baadhi ya TV series za US zinazohusu sheria sheria (mf. Justice ya mwaka 2006) nikagundua kule wanatumia Trial by jury. na nimeipenda hii system, nataka jua mapungufu yake na mazuri yake kwa kulinganisha na bench trial. na hapa kwetu tunatumia ipi na kwa nini???.
Thanks.