Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

Umeeleza mengi mazuri (hasa namba za rambirambi) lakini kwa kiasi kikubwa umejifagilia wewe binafsi , ila siyo kesi .

RIP Le Mutuz Nation , Nye nye nyeeee !!

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Siunajua kik tena za huyu mzee wa kutoka magorofani drive in
Mara sijui nlisoma na mtoto wa mwinyi,sijui alipiga div 1 nani [emoji1]

Ova
 
Pascal haya maneno no yako kweli!!!!![emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
(Mkuu William Malecela Le Mutuz,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe)

......................................................
NI AFRIKA PEKEE MAREHEMU HUSINGIZIWA MAZURI YOTE.

Poleni wafiwa Mungu awafariji
Wafrika mtu akifa unafiki mwingi sana

Ova
 
Misiba imeingiliana leo watu walikuwa kwa membe, lemutz ni mtu wa watu lazima kesho watu wajitokeze kumuaga.

Mabebe zake kutoka Africa mashariki na kati wote kesho watakuwepo.

Rip the king of all social media in tz, American spirit, free education , akili kubwa, you know, boma yeeee!
 
Update ya Msiba wa Mwana JF Mwenzetu, William Malecela, "Le Mutuz "

Kwanza natoa pole sana kwa familia ya Mzee John Malecela kwa msiba mkubwa na mzito wa mtoto wake, William Malecela, kwa jina maarufu Le Mutuz, aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es Salaam.

Msiba upo nyumbani kwa Baba yake Mzee John Malecela, pale Sea View.

Nimepita pale na kufanikiwa kupata Ratiba ya Kumuaga.

Kwa mujibu wa msemaji wa Familia, ya William Malecela, Le Mutuz, ambaye ni Kaka wa Le Mutuz, aliyejitambulisha kwa jina moja tuu la Kaka Misano. amesema Mwili wa marehemu utachukuliwa Hospitali ya Muhimbili Saa 2:00 Asubuhi na kupelekwa Nyumbani Sea View na Ibada Fupi ya Kifamilia.

Saa 3:00 asubuhi Mwili utaondolewa nyumbani kuwasili Ukumbi wa Karimjee Saa 3:30.
Saa 4:00 - Saa 6:00 ni shughuli za kuaga hapo Karimjee

Saa 7:00 Mwili unaondoka Ukumbi wa Karimjee kupelekwa Airport, tayari kwa safari ya Dodoma.

Mwili Utawasili Dodoma Saa 11:00 jioni

Siku ya Jumanne kutakuwa na Ratiba za Dodoma.

Mazishi yatafanyika Mvumi Mission Dodoma, Siku ya Jumatano saa 9:00 Alasiri.

Kwa wote walioguswa na msiba huu mkubwa wawasiliane na familia wapewe utaratibu wa kutoa mkono wa pole.

My Take. My Tribute
Huu ndio msiba mkubwa wa pili kwa mwana JF maarufu baada ya Regia Mtema.

Kwasababu msiba wa Regia, wana JF, tulijitoa na kujitokeza, natoa wito kwa wana JF, kesho tujitokeze kwa wingi Karimjee.

Wenye kuweza kumsindikiza Dodoma, tumsindikize. Wana JF wa Dodoma, mtuwakilishe Mvumi Dodoma siku ya mazishi, na itapendeza kama kutakuwa na shada la JF.

My Personal Tribute to Le Mutuz.
Mimi nimesoma Shule ya Msingi Oyster Bay na watoto wote wa Mzee Malecela.

Nilikuwa darasa moja na Jaji Mwendwa Malecela.

Rais Mwinyi alitutangulia madarasa mawili, alikuwa darasa moja na Dr. Seche Malecela.

Nikiwa O LevelTambaza Senyagwa alikuwa A level PCM, alipomaliza na kupiga DIV 1 ya point 3 na kujoin UDSM, Dr. Husein Mwinyi na Seche, Mh.Silvester Koka walijiunga Tambaza PCB.

Ni mpaka nilipokwenda jijini New York, nchini Marekani kwenye ubalozi wetu UN pale New York, ndipo nikatambulishwa kwa shemeji yetu Mke wa Le Mutuz, ndipo nikamfahamu William.

Tukaja kukutana tena JF. alipokuja kugombea ubunge wa Bunge la Africa Mashariki, akanitafuta, nikampa support.

From there tukawa marafiki, kama vilivyo vikombe kabatini kuna wakati tukapishana kauli, akanifungia madirisha.

Tukaja kupatanishwa na mwana JF Sactus Mtsimbe, kuna wakati alituhifadhi mimi na Le Mutuz pale ofisini kwake, Tancot House hivyo tukapatana.

Ni Le Mutuz ndie aliyenitambulisha mimi kwenye YouTube channel, na video hii ya Le Mutuz,
ndio video yangu ya kwanza YouTube, ingekuwa video ni Mwanamke, tungesema ni video ya Le Mutuz ndio imeib...ri YouTube Channel yangu!. Thanks for that.

Mara ya mwisho kuonana na Le Mutuz ni kwenye msiba wa Baghdellan pale Magomeni mwaka jana.

Kiukweli kabisa kwa jinsi Le Mutuz alivyo mtu wa watu, sijapenda mahudhurio hafifu niliyoyaona hapo nyumbani, nilipategemea kufurika ma babez na washure wakiongozwa na Davis Mosha, labda tusubirie hiyo kesho, ila kwa sasa kitu muhimu sana ni kutoa mkono wa pole kwa familia.

Mkuu William Malecela Le Mutuz,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe

Buriani ya Kuonana.

Paskali

Loh poleni sana wana JF wote mlioguswa na msiba huu mzito

Kuna minong'ono kuwa simba karudi mjini hivyo watu wanaanza kuogopa kutoka toka nje.

Tushiriki msiba huu wa mwenzetu kwa hali na mali

Mungu ampokee mja wake
 
Update ya Msiba wa Mwana JF Mwenzetu, William Malecela, "Le Mutuz "

Kwanza natoa pole sana kwa familia ya Mzee John Malecela kwa msiba mkubwa na mzito wa mtoto wake, William Malecela, kwa jina maarufu Le Mutuz, aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es Salaam.

Msiba upo nyumbani kwa Baba yake Mzee John Malecela, pale Sea View.

Nimepita pale na kufanikiwa kupata Ratiba ya Kumuaga.

Kwa mujibu wa msemaji wa Familia, ya William Malecela, Le Mutuz, ambaye ni Kaka wa Le Mutuz, aliyejitambulisha kwa jina moja tuu la Kaka Misano. amesema Mwili wa marehemu utachukuliwa Hospitali ya Muhimbili Saa 2:00 Asubuhi na kupelekwa Nyumbani Sea View na Ibada Fupi ya Kifamilia.

Saa 3:00 asubuhi Mwili utaondolewa nyumbani kuwasili Ukumbi wa Karimjee Saa 3:30.
Saa 4:00 - Saa 6:00 ni shughuli za kuaga hapo Karimjee

Saa 7:00 Mwili unaondoka Ukumbi wa Karimjee kupelekwa Airport, tayari kwa safari ya Dodoma.

Mwili Utawasili Dodoma Saa 11:00 jioni

Siku ya Jumanne kutakuwa na Ratiba za Dodoma.

Mazishi yatafanyika Mvumi Mission Dodoma, Siku ya Jumatano saa 9:00 Alasiri.

Kwa wote walioguswa na msiba huu mkubwa wawasiliane na familia wapewe utaratibu wa kutoa mkono wa pole.

My Take. My Tribute
Huu ndio msiba mkubwa wa pili kwa mwana JF maarufu baada ya Regia Mtema.

Kwasababu msiba wa Regia, wana JF, tulijitoa na kujitokeza, natoa wito kwa wana JF, kesho tujitokeze kwa wingi Karimjee.

Wenye kuweza kumsindikiza Dodoma, tumsindikize. Wana JF wa Dodoma, mtuwakilishe Mvumi Dodoma siku ya mazishi, na itapendeza kama kutakuwa na shada la JF.

My Personal Tribute to Le Mutuz.
Mimi nimesoma Shule ya Msingi Oyster Bay na watoto wote wa Mzee Malecela.

Nilikuwa darasa moja na Jaji Mwendwa Malecela.

Rais Mwinyi alitutangulia madarasa mawili, alikuwa darasa moja na Dr. Seche Malecela.

Nikiwa O LevelTambaza Senyagwa alikuwa A level PCM, alipomaliza na kupiga DIV 1 ya point 3 na kujoin UDSM, Dr. Husein Mwinyi na Seche, Mh.Silvester Koka walijiunga Tambaza PCB.

Ni mpaka nilipokwenda jijini New York, nchini Marekani kwenye ubalozi wetu UN pale New York, ndipo nikatambulishwa kwa shemeji yetu Mke wa Le Mutuz, ndipo nikamfahamu William.

Tukaja kukutana tena JF. alipokuja kugombea ubunge wa Bunge la Africa Mashariki, akanitafuta, nikampa support.

From there tukawa marafiki, kama vilivyo vikombe kabatini kuna wakati tukapishana kauli, akanifungia madirisha.

Tukaja kupatanishwa na mwana JF Sactus Mtsimbe, kuna wakati alituhifadhi mimi na Le Mutuz pale ofisini kwake, Tancot House hivyo tukapatana.

Ni Le Mutuz ndie aliyenitambulisha mimi kwenye YouTube channel, na video hii ya Le Mutuz,
ndio video yangu ya kwanza YouTube, ingekuwa video ni Mwanamke, tungesema ni video ya Le Mutuz ndio imeib...ri YouTube Channel yangu!. Thanks for that.

Mara ya mwisho kuonana na Le Mutuz ni kwenye msiba wa Baghdellan pale Magomeni mwaka jana.

Kiukweli kabisa kwa jinsi Le Mutuz alivyo mtu wa watu, sijapenda mahudhurio hafifu niliyoyaona hapo nyumbani, nilipategemea kufurika ma babez na washure wakiongozwa na Davis Mosha, labda tusubirie hiyo kesho, ila kwa sasa kitu muhimu sana ni kutoa mkono wa pole kwa familia

Mkuu William Malecela Le Mutuz,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe

Buriani ya Kuonana.

Paskali

Rambi rambi za nini ?mtu alikuwa anashinda 5 star hotels .
 
Siunajua kik tena za huyu mzee wa kutoka magorofani drive in
Mara sijui nlisoma na mtoto wa mwinyi,sijui alipiga div 1 nani [emoji1]

Ova
Nadhani ni ushamba wa asili , kuna wakati nilipata tenda ya kupeleka nyama ya ng'ombe tani nyingi CANADA , sasa waliokuwa wananiuzia ng'ombe walikuwa ndugu wa Pascal , changamoto ilikuwa ukiwapeleka hotel kubwa kwa ajili ya malipo yao au mipango mingine , wanaagiza kreti nyingi za bia na wanataka ziletwe zote mezani !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Update ya Msiba wa Mwana JF Mwenzetu, William Malecela, "Le Mutuz "

Kwanza natoa pole sana kwa familia ya Mzee John Malecela kwa msiba mkubwa na mzito wa mtoto wake, William Malecela, kwa jina maarufu Le Mutuz, aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es Salaam.

Msiba upo nyumbani kwa Baba yake Mzee John Malecela, pale Sea View.

Nimepita pale na kufanikiwa kupata Ratiba ya Kumuaga.

Kwa mujibu wa msemaji wa Familia, ya William Malecela, Le Mutuz, ambaye ni Kaka wa Le Mutuz, aliyejitambulisha kwa jina moja tuu la Kaka Misano. amesema Mwili wa marehemu utachukuliwa Hospitali ya Muhimbili Saa 2:00 Asubuhi na kupelekwa Nyumbani Sea View na Ibada Fupi ya Kifamilia.

Saa 3:00 asubuhi Mwili utaondolewa nyumbani kuwasili Ukumbi wa Karimjee Saa 3:30.
Saa 4:00 - Saa 6:00 ni shughuli za kuaga hapo Karimjee

Saa 7:00 Mwili unaondoka Ukumbi wa Karimjee kupelekwa Airport, tayari kwa safari ya Dodoma.

Mwili Utawasili Dodoma Saa 11:00 jioni

Siku ya Jumanne kutakuwa na Ratiba za Dodoma.

Mazishi yatafanyika Mvumi Mission Dodoma, Siku ya Jumatano saa 9:00 Alasiri.

Kwa wote walioguswa na msiba huu mkubwa wawasiliane na familia wapewe utaratibu wa kutoa mkono wa pole.

Naomba ukisha tuma ututumie jina lako na message au tupigie tuconfirm.

My Take. My Tribute
Huu ndio msiba mkubwa wa pili kwa mwana JF maarufu baada ya Regia Mtema.

Kwasababu msiba wa Regia, wana JF, tulijitoa na kujitokeza, natoa wito kwa wana JF, kesho tujitokeze kwa wingi Karimjee.

Wenye kuweza kumsindikiza Dodoma, tumsindikize. Wana JF wa Dodoma, mtuwakilishe Mvumi Dodoma siku ya mazishi, na itapendeza kama kutakuwa na shada la JF.

My Personal Tribute to Le Mutuz.
Mimi nimesoma Shule ya Msingi Oyster Bay na watoto wote wa Mzee Malecela.

Nilikuwa darasa moja na Jaji Mwendwa Malecela.

Rais Mwinyi alitutangulia madarasa mawili, alikuwa darasa moja na Dr. Seche Malecela.

Nikiwa O LevelTambaza Senyagwa alikuwa A level PCM, alipomaliza na kupiga DIV 1 ya point 3 na kujoin UDSM, Dr. Husein Mwinyi na Seche, Mh.Silvester Koka walijiunga Tambaza PCB.

Ni mpaka nilipokwenda jijini New York, nchini Marekani kwenye ubalozi wetu UN pale New York, ndipo nikatambulishwa kwa shemeji yetu Mke wa Le Mutuz, ndipo nikamfahamu William.

Tukaja kukutana tena JF. alipokuja kugombea ubunge wa Bunge la Africa Mashariki, akanitafuta, nikampa support.

From there tukawa marafiki, kama vilivyo vikombe kabatini kuna wakati tukapishana kauli, akanifungia madirisha.

Tukaja kupatanishwa na mwana JF Sactus Mtsimbe, kuna wakati alituhifadhi mimi na Le Mutuz pale ofisini kwake, Tancot House hivyo tukapatana.

Ni Le Mutuz ndie aliyenitambulisha mimi kwenye YouTube channel, na video hii ya Le Mutuz,
ndio video yangu ya kwanza YouTube, ingekuwa video ni Mwanamke, tungesema ni video ya Le Mutuz ndio imeib...ri YouTube Channel yangu!. Thanks for that.

Mara ya mwisho kuonana na Le Mutuz ni kwenye msiba wa Baghdellan pale Magomeni mwaka jana.

Kiukweli kabisa kwa jinsi Le Mutuz alivyo mtu wa watu, sijapenda mahudhurio hafifu niliyoyaona hapo nyumbani, nilipategemea kufurika ma babez na washure wakiongozwa na Davis Mosha, labda tusubirie hiyo kesho, ila kwa sasa kitu muhimu sana ni kutoa mkono wa pole kwa familia

Mkuu William Malecela Le Mutuz,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe

Buriani ya Kuonana.

Paskali

Niliwahi kukutana nae makongo juu kwenye msiba wa bikira wa kisukuma,Noah yake ikapata pancha nikamsaidia kubadili tairi akanitoa elfu kumi,jamaa ameniuma sana,alikuwa mtu poa,endekea kutupa update wengine tuko Rondo
 
Back
Top Bottom