MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mabebez hawanaga habari za misiba labda mazishi yafanyikie Five Star Hotel.... hao viumbe wako kwa ajili ya kutafuna hela za mtu sio mambo ya msiba wala matatizo mengine.Misiba imeingiliana leo watu walikuwa kwa membe, lemutz ni mtu wa watu lazima kesho watu wajitokeze kumuaga.
Mabebe zake kutoka Africa mashariki na kati wote kesho watakuwepo.
Rip the king of all social media in tz, American spirit, free education , akili kubwa, you know, boma yeeee!
Aisee msiba wa bikira wa kisukuma uliniuma sana. Yule kijana aliondoka mapema wakati ndo anaanza kuinuka.Niliwahi kukutana nae makongo juu kwenye msiba wa bikira wa kisukuma,Noah yake ikapata pancha nikamsaidia kubadili tairi akanitoa elfu kumi,jamaa ameniuma sana,alikuwa mtu poa,endekea kutupa update wengine tuko Rondo
Tusindikize na old school music basi Belinda! Old is GoldRest easy Bill Malecela.
Pole bro Pascal na wanaJF wote waliomfahamu.
sureMtoto wa waziri Mkuu mstaafu anachangiwa huku kuna wanjf kibao hawana hata pesa ya chakula wanakuja humu kuomba misaada wanaambulia matusi tu.
Paschal hii double standard mpaka lini kama vipi wote wachangiwe
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
You need to live ur life I'm not sure if Lemutuz did anything wrongMwanzo nilimuona ni mtu wa maana, baadae maisha yake ya kwenye mitandao yakanifanya nimdharau, nimpuuze na kumuona mtu wa hovyo. Kumbe sikuwa sahihi
Nilipoongezeka hekima kidogo nikaanza kuelewa kuwa changamoto na mapito ya maisha yanaweza kukuvuruga na ukawa au ukaonekana mtu wa hovyo. Kila mtu ana namna yake ya kukabiliana nazo na kila mmoja ana namna anavyoathiriwa nazo.
Wengine huhitaji watu wakuwasaidia kuvuka, wengine huweza kuvuka wenyewe, wengine huzama mazima.
Mfano; umeachwa na mwenza mkiwa ughaibuni. Anaunda timu kukuchafua na kuwajenga watoto wakuchukie.
Unaamua kurudisha majeshi nyuma kwa kurudi nchini kwako huku mifuko imechacha, hapo una stress na depression. Unakuta watu wa rika lako au wadogo kuliko wewe tayari wana maisha. Kumbuka umetoka majuu, jamii yako inategemea kuwa umerudi na mafanikio, kwa kuwa ni kinyume chake unahisi wata/wanakudharau. Hujui uanzie wapi na stress zako. Unaingia kwenye denial.
Mungu anakusaidia unapata riziki za hapa na pale ila depression inakutuma ufanye maonesho na maigizo ya maisha mazuri pia ukomae na bebez kwa kuwala au kupiga nao picha tu na kusambaza ili tu kumlingishia mtaraka wako kuwa kakuacha ila mademu wanakukubali na unakula bata na wewe ni maarufu. Pia kuwasuta wote wanaohisi huna lolote.
Kumbe unazidi kuharibu. Watu wa maana wa rika lako wanakuona hufai na wanaanza kukuepuka, huku wale wadogo wanakuona mtu mzima hovyo. Umri unaenda, na stress zinazidi. Hapo huamini tena katika mahusiano, ndoa wala familia. Unaona wakati umeenda na kila kitu kimeshavurugika.
Maisha yana mambo mengi. Unaweza kuwa mtu mwema tu ila familia, mwenza, kazi, misukosuko vikakuvuruga na kukutoa kwenye reli. Usipopata msaada wa kupokea hali na kuanza upya unaweza dhani unayajenga, kumbe ndio unaharibu na kuongeza stress zaidi.
R.I.P William
My Way - Frank SinatraTusindikize na old school music basi Belinda! Old is Gold
Lakini hatokosa mmoja hata wa kwenda dodoma kwenye mazishi. Aliwapa good time. Mimi nasubiri yule wa rwanda kama atakuja.Mabebez hawanaga habari za misiba labda mazishi yafanyikie Five Star Hotel.... hao viumbe wako kwa ajili ya kutafuna hela za mtu sio mambo ya msiba wala matatizo mengine.
Appreciated! Belinda.! ThanksMy Way - Frank Sinatra
And now the end is here
And so I face that final curtain
My friend I'll make it clear
I'll state my case, of which I'm certain
I've lived a life that's full
I traveled each and every highway
And more, much more
I did it, I did it my way
Regrets, I've had a few
But then again too few to mention
I did what I had to do
I saw it through without exemption
I planned each charted course
Each careful step along the byway
And more, much, much more
I did it, I did it my way
Yes, there were times I'm sure you knew
When I bit off more than I could chew
But through it all, when there was doubt
I ate it up and spit it out
I faced it all and I stood tall and did it my way
I've loved, I've laughed, and cried
I've had my fill, my share of losing
And now, as tears subside
I find it all so amusing
To think I did all that
And may I say, not in a shy way
"Oh no, oh no, not me
I did it my way
For what is a man, what has he got?
If not himself then he has naught
Not to say the things that he truly feels
And not the words of someone who kneels
Let the record shows I took all the blows and did it my way
NYE NYE NYEE!Misiba imeingiliana leo watu walikuwa kwa membe, lemutz ni mtu wa watu lazima kesho watu wajitokeze kumuaga.
Mabebe zake kutoka Africa mashariki na kati wote kesho watakuwepo.
Rip the king of all social media in tz, American spirit, free education , akili kubwa, you know, boma yeeee!
Kwani na wao wamekufa? Mayalla hajasema tumchangie le mutuz,kasema tuchangie msiba wa lemutuz.Mtoto wa waziri Mkuu mstaafu anachangiwa huku kuna wanjf kibao hawana hata pesa ya chakula wanakuja humu kuomba misaada wanaambulia matusi tu.
Paschal hii double standard mpaka lini kama vipi wote wachangiwe
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Balantanda upo?R.I.P Mzee ES….Field Marshal ES…FMES
Mzee wa SAUTI YA UMEME…
Nipo brother…Mkuu Balantanda upo?
RIP kwa ndugu yetu William Malecela.
Nilipotea JF kwa muda mrefu ila kwa heshima ya William Malecela leo nimerejea. Poleni sana wote.
wewe ndio mmiliki wa kiwanda kinachotengeneza baiskel za phoenix?Vita gani vitakatifu bwana.
wewe ndio mmiliki wa kiwanda cha baiskel za phoenix?Vita gani vitakatifu bwana.
Pascal haya maneno no yako kweli!!!!!👇👇👇👇👇👇👇
(Mkuu William Malecela Le Mutuz,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,
Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe)
......................................................
NI AFRIKA PEKEE MAREHEMU HUSINGIZIWA MAZURI YOTE.
Poleni wafiwa Mungu awafariji
Bongo unafiki mwingi, machoni utasifiwa, ukiondoka unasemwa vibaya balaaKuna Mzee mmoja mwanawe wa kiume alikua mwizi, Jambazi na ukorofi wa Kila aina...siku amefariki, watu wakaanza unafikiri wao oooh he was a good guy na mapambo mengi ya kinafiki, hapo Mzee wa yule kijana akaona sasa hii sio sawa. Akakatusha aliyekua anaongea, akasema heee! Why are you trying to pretend as if he was a good guy, we all know he was a thief, why don't you tell people the truth and they should learn that when you are a monster, you will go with it to your grave. Stop wasting our time here. Let the people know that he was a bad guy and burry him.
Huyo ni baba mzazi wa mtoto.
ndio nani huyo bikra wa kisukuma?