Tribute to Women's Hair - Why we Love 'em! (Both)

kwa waliobahatika kuwa na naturals za kishombe waache wawe natural. mimi wala hawajani convince wapendeze peke yao tu, artificial na dawa ndo mpango mzima. Tukitoka hakuna anayejua nani fake nani real. Thanks mdhungu alogundua vitu artificial.


Hilo nalo neno NK!
Siku hizi hakuna natural.Hata wazungu na wahindi na waarabu hutia nywele zao dawa kuzinyoosha ziwe straight asikudanganye mtu.Niliwahi muuliza rafiki yangu mwarabu kwanini haachi nywele zake ziwe natural maana tayari ni laini.Akacheka sana na kusema haiwezekani kwa vile naye anataka nywele zake zinyooke.Wazungu wenye natural curls ndo usiseme.Hakuna anayetaka uasili tena.
Cosmetic industry inazidi kupanuka siyo kwa bahati mbaya.Inaitikia matakwa ya watumiaji katika kuboresha na hata ku maintan nywele na ngozi zao.



 
nasikia calikiti ilikuwa inapasua vioo vya magari balaa
 
ujue tausi urembo lazima uwe na fleva tofautitofauti hata kama nywele zako ni nzuri sometimes unajifeel kuchande mara rasta,weavings lengo tu ni kupendeza so sio kwamba watu hawapendi uhalisia
 
Yeahhh . . .
Na siku ya mbili za mwanzo msiwe mnashika vichwa. . . hua vinauma kweli mpaka tukilala tunajiegesha.

.....hapa ndipo ninapochukia hizi nywele za 'midoli!'
Halafu duniani hupati vyote, unapata mke mzuri lakini nywele feki...(au kinyume chake)
 
Kati ya hivi ni kipi kinampendekeza mwanamke na kuvutia kwanza:

a. Macho
b. Miguu
c. Nywele
d. Kifua (you know what)
e. Nyuma (that!)
f. Umbile

Kwangu.. I'll go with the eyes and hair!

...mnh, ngumu kusema lipi kwanza kwani yote ni "reception" hapo,
Jicho limeona na roho imetamani...

Sasa atabasamu hapo kisha awe na u mwanya kidogo mnhhh!....
 
vichwa vya wanawake ni vya ajabu sana..............mie hata kikiwa kina nywele fupi bado nitazi admire na kuzipenda tu!
 

.....hapa ndipo ninapochukia hizi nywele za 'midoli!'
Halafu duniani hupati vyote, unapata mke mzuri lakini nywele feki...(au kinyume chake)

Hahahah. .
Sasa Mbu unazichukia kisa huruhusiwi kushika siku mbili tu? Embu acheni tupendeze bwana, ni kwa faida yetu na yenu pia.
 
Reactions: Mbu
Tunaongelea sana unatural wa nywele kutokana na sababu kwa nini wanawake wanapenda kubadili mtazamo wa nywele zao hasa sie wenye asili ya kiafrika pamoja na madhara ya hizo kemikali zinazotumika kwa mfano pale mtu anapoweka relaxer. Mie kwa kweli nina zangu natural, huwa ninaweka henna (natural) na ninatumia mafuta ya mzaituni kuzilainisha. Ni kazi kweli kweli na inahitaji moyo ukizingatia sina msusi hapa ila huwa nijisikia furaha nikipita mtaani na style zangu za kibantu maana huwa niko mwenyewe tu!!!!
 
Hahahah. .
Sasa Mbu unazichukia kisa huruhusiwi kushika siku mbili tu? Embu acheni tupendeze bwana, ni kwa faida yetu na yenu pia.

....lol....haya bana, ruksa....ila swali kusuka huko ni kila baada ya wiki, mwezi, au?
Siku nane katika mwezi bila kushika nywele wala haiji!...
 

....lol....haya bana, ruksa....ila swali kusuka huko ni kila baada ya wiki, mwezi, au?
Siku nane katika mwezi bila kushika nywele wala haiji!...
Hahahaha. . .
Sasa si bado mnapata siku 20-23??Embu ridhikeni bana.

Alafu muda inategemea na style aiseee,sijui tuamue wote tunyoe. . . mtatupenda bado?
 
ki ukweli kabisa nywele ni urembo wa mwanamke na ni starehe ya mwanaume ila pia nywele inaleta mashamsham wakati wa faragha na raha zaidi zishikike kwa urahisi wakati huo, sasa hizi style zingine za kusuka siku 3 kichwa kinaegeshwa juu juu duh kaazi kwelikweli,si ajabu ukakuta mwanamke kwa mitindo ya nywele hajambo lakini hana raha na faragha wake,,mitindo mingine jamani tupunguze raha ya nywele zinukie na zikishikwa zishikike......:smile:
 
nywele zinakua kama vile zimerambwa na mbwa. harufu tena ndo usiseme. yani kwangu hicho kilikua kigezo cha kwanza kumdisko mwanamke
mama alikuwa anawapaka wenzake nilikuwa mdogo sana sana naikumbuka kwa mbali
 

"Hinna" ni natural haina ubishi kabisa ni rangi inayotoka kwenye mti wa "Mhinna" na ambayo baada ya muda hupotea. Kupaka vipodozi kwa mwanamke wa Kiislaam ni kwa mumewe tu, tena kuna namna ya kujipodoa na si kuvuka mipaka.

Hayo mengine unayosema sidhani kama yalikuwepo kwenye mada, mada nilivyoiona mimi ni "nywele". Kama ya nywele yamekwisha turukie mengine.
 
ukiharibu kwenye nywele umejimaliza kila kitu
 
ZInajulikana kwa nani??

 
Yeahhh . . .
Na siku ya mbili za mwanzo msiwe mnashika vichwa. . . hua vinauma kweli mpaka tukilala tunajiegesha.

Lizzy umenikumbusha siku moja nimesuka nywele kwanza ikabidi ninywe panadol na baada ya kushindwa zaidi ikabidi niloweke kichwa ndani ya maji,sina hamu na huu urembo..sirudii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…