trick jinsi ya kuweza kuingia kwenye account ya admininistrator kwa user wa kawaida

trick jinsi ya kuweza kuingia kwenye account ya admininistrator kwa user wa kawaida

Itakuwa vipi system ikashindwa kujua changes za password? yule user alilyelogin system itaendelea ku-auditing kila kitu anafanya, unless ni kampuni za uswahilini na admin hajui anachofanya. Kitu kingine makampuni makini yana disable kabisa hiyo run command + cmd. Siyo tu kudisable inaondolewa kabisa kwenye start menu kwa kutumia GPO. Hii ni area yangu ya kujidai MCITP holder.

you have a point brother
 
Watanzania tunapenda kujifunza wizi tuuuu. Admn aweke password yake, wewe unataka kui bypass. Kwa nini?
Lete vitu vya maana venye kuelimisha na kusaidia, sio kuleta uharibifu
 
NG"ANANGWA acha tupat knowledge kaka, hiyo nidhanmu ya woga sio issue...dogo please share with us whatever you have
 
Back
Top Bottom