Tricky sana......

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
542
Reaction score
735
Kuna huyo comedian wa kenya anajiita MCA TRICKY yaani yuko vizuri mno tena sana na anajua kuchekesha haswa, kwa sasa aina ya comedy anayoifanya iko vizur mno tofauti na hizi zetu za mara kuvaa matambara mara sijui mtu anajikakamua kukulazimisha ucheke.... Hadi unajikuta badala ucheke kike anachokifanya unaanza mcheka yeye..
 
Kumbe unamjua tafteni yeye you tube jina hilohilo mcheke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…