Makadirio bajeti iliyopita ilikuwa trilioni 15 kwanini serikali haikutenga angalau trilioni 1 kwa ajili ya mikopo ili vijana wetu wasome waje kulitumikia taifa kwa roho safi maana limewajali matokeo yake bajeti nzima inaishia kwenye kulipa posho, 2015 mimi na kura yangu.
Makadirio bajeti iliyopita ilikuwa trilioni 15 kwanini serikali haikutenga angalau trilioni 1 kwa ajili ya mikopo ili vijana wetu wasome waje kulitumikia taifa kwa roho safi maana limewajali matokeo yake bajeti nzima inaishia kwenye kulipa posho, 2015 mimi na kura yangu.
ofkoz idea yako ni nzuri lakini so far bilion 600 inatosha kusomesha wote elimu ya juu na chenchi kubaki.