Makadirio bajeti iliyopita ilikuwa trilioni 15 kwanini serikali haikutenga angalau trilioni 1 kwa ajili ya mikopo ili vijana wetu wasome waje kulitumikia taifa kwa roho safi maana limewajali matokeo yake bajeti nzima inaishia kwenye kulipa posho, 2015 mimi na kura yangu.