Hao wabunge wa upinzani Ni wakina Nani mkuu?Baada ya serikali kupokea mkopo wa IMF wa Trillion 1.3 Tshs itapendeza zaidi kuona makampuni yatakayopewa tenda ya ujenzi ama ku supply vifaa yatangazwe rasmi kwenye magazeti. Hii itasaidia wananchi kufahamu uwezo wa makampuni hayo katika kufanya kazi hizo. Waziri Mkuu ametangaza kamati itayosimamia hiyo fedha lakini ingependeza kama wabunge wa upinzani wangejumwishwa kwenye hiyo kamati.
Kwani kuna wabunge wa upinzani kwenye bunge la Ndugai?Baada ya serikali kupokea mkopo wa IMF wa Trillion 1.3 Tshs itapendeza zaidi kuona makampuni yatakayopewa tenda ya ujenzi ama ku supply vifaa yatangazwe rasmi kwenye magazeti. Hii itasaidia wananchi kufahamu uwezo wa makampuni hayo katika kufanya kazi hizo. Waziri Mkuu ametangaza kamati itayosimamia hiyo fedha lakini ingependeza kama wabunge wa upinzani wangejumwishwa kwenye hiyo kamati.
Kwa bahati mbaya nchi kwa kipindi hiki haina wabunge wa upinzani, kama kweli huwa wana umuhimu mgetumia akili kabla ya kuibaka demokrasia.Baada ya serikali kupokea mkopo wa IMF wa Trillion 1.3 Tshs itapendeza zaidi kuona makampuni yatakayopewa tenda ya ujenzi ama ku supply vifaa yatangazwe rasmi kwenye magazeti. Hii itasaidia wananchi kufahamu uwezo wa makampuni hayo katika kufanya kazi hizo. Waziri Mkuu ametangaza kamati itayosimamia hiyo fedha lakini ingependeza kama wabunge wa upinzani wangejumwishwa kwenye hiyo kamati.