Troublemaker leo nimetimiza miaka mitano ndani ya JF

Troublemaker leo nimetimiza miaka mitano ndani ya JF

Hello JF!

Heshima kwenu na kwangu, uwepo wetu humu ndio unafanya jamii forum iendelee kuwepo. Japo niiliifahamu JF mapema mwaka 2012, lakini tarehe kama ya leo mwaka 2015 ndio rasmi nilijoin kama member. Kwangu si midogo, ukizingatia wapo member waliotangulia, R.I.P kwao.

Naheshimu ushirikiano wenu kwangu nyinyi nyote, sio siri mmenifaa sana katika nyakati nyingi. Hasa kwangu ndio mtandao pekee nikijisikia upweke nikiingia huku basi nakuwa kama niko na familia kubwa karibu. Kama ilivyo sehemu nyingine wakutanapo watu kuna pumba na mchele lakini ikizingatiwa katika jamii yeyote hatuwezi kufikiri/kuwaza sawa.

Ni ww na ungo wako kuweza kupeta na kupembua vyema kupata unachohitaji nami naweza sema nimepata na naendelea kupata ninachohitaji kutoka kwenu.

Asanteni sana.


Sina mengi ni mimi mtoto wenu mpendwa
troublemaker
JF-mwanachama mzoefu
Natokea - Tanganyika
Jinsia - ME
Tar ya kuz - August 4
Mahusiano - Single😜


Umeijua JF 2012?mbona ulichelewa sana kujiunga?
Mie nimeijua JF 2016,na siku nimeijua ndio siku nimejoin

Halafu hapo kwenye single ina mana yule wifi yangu financial services mlishamwagana?

Halafu niPM jina lako halisi
 
Umeijua JF 2012?mbona ulichelewa sana kujiunga?
Mie nimeijua JF 2016,na siku nimeijua ndio siku nimejoin

Halafu hapo kwenye single ina mana yule wifi yangu financial services mlishamwagana?

Halafu niPM jina lako halisi
1.Nilichelewa kujiunga kwanza nilikuwa siuelewi sana JF kwa wakati huo. Nilikuwa mtumiaji wa Facebook zaidi wakati huo.

2.Alizuzuka na wenye magari akaniacha😢

3.Sawa lako pia unitajie pm😜
 
One of the humble brothers around....lile jukwaa la console nimali yako hahaha
 
1.Nilichelewa kujiunga kwanza nilikuwa siuelewi sana JF kwa wakati huo. Nilikuwa mtumiaji wa Facebook zaidi wakati huo.

2.Alizuzuka na wenye magari akaniacha😢

3.Sawa lako pia unitajie pm😜


Ooh,ndio maana

Haya,niPM basi hilo jina
 
Umeijua JF 2012?mbona ulichelewa sana kujiunga?
Mie nimeijua JF 2016,na siku nimeijua ndio siku nimejoin

Halafu hapo kwenye single ina mana yule wifi yangu financial services mlishamwagana?

Halafu niPM jina lako halisi
Naona amenikana eti yuko single wakati tushaoana miaka 7 sasa, wanaume Mungu anawaonaa😀😀, kuwa makini Joanna kaandika yupo single ili akupate tu.😪
 
Back
Top Bottom