Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini hata ww unatania.[emoji3]
Hello JF!
Heshima kwenu na kwangu, uwepo wetu humu ndio unafanya jamii forum iendelee kuwepo. Japo niiliifahamu JF mapema mwaka 2012, lakini tarehe kama ya leo mwaka 2015 ndio rasmi nilijoin kama member. Kwangu si midogo, ukizingatia wapo member waliotangulia, R.I.P kwao.
Naheshimu ushirikiano wenu kwangu nyinyi nyote, sio siri mmenifaa sana katika nyakati nyingi. Hasa kwangu ndio mtandao pekee nikijisikia upweke nikiingia huku basi nakuwa kama niko na familia kubwa karibu. Kama ilivyo sehemu nyingine wakutanapo watu kuna pumba na mchele lakini ikizingatiwa katika jamii yeyote hatuwezi kufikiri/kuwaza sawa.
Ni ww na ungo wako kuweza kupeta na kupembua vyema kupata unachohitaji nami naweza sema nimepata na naendelea kupata ninachohitaji kutoka kwenu.
Asanteni sana.
Sina mengi ni mimi mtoto wenu mpendwa
troublemaker
JF-mwanachama mzoefu
Natokea - Tanganyika
Jinsia - ME
Tar ya kuz - August 4
Mahusiano - Single😜
1.Nilichelewa kujiunga kwanza nilikuwa siuelewi sana JF kwa wakati huo. Nilikuwa mtumiaji wa Facebook zaidi wakati huo.Umeijua JF 2012?mbona ulichelewa sana kujiunga?
Mie nimeijua JF 2016,na siku nimeijua ndio siku nimejoin
Halafu hapo kwenye single ina mana yule wifi yangu financial services mlishamwagana?
Halafu niPM jina lako halisi
1.Nilichelewa kujiunga kwanza nilikuwa siuelewi sana JF kwa wakati huo. Nilikuwa mtumiaji wa Facebook zaidi wakati huo.
2.Alizuzuka na wenye magari akaniacha😢
3.Sawa lako pia unitajie pm😜
Naona amenikana eti yuko single wakati tushaoana miaka 7 sasa, wanaume Mungu anawaonaa😀😀, kuwa makini Joanna kaandika yupo single ili akupate tu.😪Umeijua JF 2012?mbona ulichelewa sana kujiunga?
Mie nimeijua JF 2016,na siku nimeijua ndio siku nimejoin
Halafu hapo kwenye single ina mana yule wifi yangu financial services mlishamwagana?
Halafu niPM jina lako halisi
Naona amenikana eti yuko single wakati tushaoana miaka 7 sasa, wanaume Mungu anawaonaa😀😀, kuwa makini Joanna kaandika yupo single ili akupate tu.😪
[emoji3]Daaah mkuu now sina pc namiss sana games.
Hello miss, za masiku?Naona amenikana eti yuko single wakati tushaoana miaka 7 sasa, wanaume Mungu anawaonaa😀😀, kuwa makini Joanna kaandika yupo single ili akupate tu.😪
fanya umuhurumie kijanaMiaka yote humu bado upo single?[emoji23]
Kwahiyo umeamua kuwaita wanifumanie siyo?.😀😀, nawapenda wote bana usiwe na wasiwasi na hiyo chain babe Troublemaker.
Aaaii unanikana live ili upate mabebez humu eeh, sasa napiga ndulu ,huyuuu kaoa jamani kaeni naye mbalii.🏃♀️🏃♀️Naomba usiendelee kuniita babe😡 usije niharibia😀
Ng'wana ng'wise tudumishe lugha yetu.....and you have caused a lot of trouble [emoji16][emoji16][emoji16]
Hongera mkuu [emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Apply hiyo postkwahiyo uko single[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
ila hongera