haaa,,,we jamaa unamaswali tata!!. mezoeleka fuso yenye diff mbili kuitwa tandam kama alivyokuelewesha jamaa hapo juu.
kipisi ni zile scania ambazo hazina tela.
Pia kuna kipisi cha volvo,daff,actross n.k
Ndo hizo zimezoeleka kwa jina la kipisi,zenyewe hazivuti tela.Scania ambazo hazina tela zinabebaje mzigo?
Mzigo unakaa wapi kama hakuna tela?
Dereva amemfilisi vipi huyo mama mkuu?Dada ambaye truck yake imezama Wami kafilisiwa na dereva, hakupata dereva mzuri
Muda huu unakwenda kukagua kwanza mali zako hapo magomeni..ntarudi
Mkubwa umechoraaaa dahDHANA YA UBEBAJI MIZIGO KWA MUJIBU WA SHERIA ZA TANZANIA Je, sheria inasemaje kuhusu kubeba mizigo? Je, ni kosa kutumia gari langu kubeba mizigo? Kuna sheria mbili tutakazoziangalia hapa, nazo ni Sheria ya Usalama Barabarani sura ya 168 ya sheria za Tanzania, na kanuni za SUMATRA za usafirishaji mizigo za mwaka 2012 KANUNI ZA SUMATRA [TRANSPORT LICENSING (GOODS CARRYING VEHICLE) REGULATIONS 2012 Kifungu cha 2 cha kanuni kinatafsiri gari gari la kubebea mizigo (Goods carrying vehicle) kama gari ambalo limetengenezwa au kufanyiwa mabadiliko kwaajili ya kubebea bidhaa au lililotengenezwa au kurekebishwa kwaajili hiyo. Kanuni hazisemi nini maana ya mzigo...
Kuna Siku Niko Iringa Tulikaa Site Kwake Hanspope Nikamuuliza Swali Apart From *DISCIPLINE* Ya Biashara Ya Transport Ni Kitu Gani Zaidi Ya Hapo?
Aliniambia *UKOROFI* 😂
Hakuna Kucheka Na Dereva.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Muda huu unakwenda kukagua kwanza mali zako hapo magomeni..
Taarifa zipi za wasafirishaji unazozihitaji mkuu?Vipi kama mtu anataka kupata taarifa kuhusu wasafirishaji wa mizigo na bei zao?
Uliza hapa hapa, ni mlima was majibu, yote yanapatikanaVipi kama mtu anataka kupata taarifa kuhusu wasafirishaji wa mizigo na bei zao?
tandeem (tanadam)ni gari yenye axle mbili nyuma iwe double diff ama diff moja na dead axle pia yaweza kuwa inavuta trela(pulling) ama isiyovuta trela.Anhaa, Tandamu inaweza kubeba tani 16
Na kipisi umesemq ni gari inayobeba tani 16 kuendelea
Kwa hiyo tandamu ni kipisi?
sio kila tandeem(tandam) huwa na diff mbili nyuma(double diff) bali zingine huwa na deed axle(difu moja na axle inayokokotwa)LEO NMEJIFUNZA KITU HAPA, NLIKUWA NAJUA TANDAM NI FUSO TU KUMBE HATA SCANIA INAWEZA KUWA TANDAM ILI MRADI IWE NA DOUBLE DIFF
ASANTE SANA JAMIIFORUMS
Hata mimi napenda kujua.Dereva amemfilisi vipi huyo mama mkuu?
tandeem (tanadam)ni gari yenye axle mbili nyuma
neno kipisi linatumika kwa kumaanisha gari ibebayo 10tons na kuendelea ila isiyo na trela.
fuso ukibahatika kununua tipper naona kama zinalipa sana,,,mfano huki mbezi fuso tipa hesabu kwa siku ni laki had laki na 20Nimenunua canter mbili.. kwa kuanzia.. na zintengeza faida vizuri tu. Mwakani nataka niongeze fuso mbili napo.. ila dream ni Volvo , Bez..
Jamani kipisi ni gari yoyote anbayo ipo capable na kuvuta tela lakini ukaitumia bila tela. Sasa tangu lini fuso ikapull?Kwa definitions zako, gari hii hapa chini
ni KIPISI ( haina trela na inabeba zaidi ya tani kumi)...
wee jamaa uko deep sanasio kila tandeem(tandam) huwa na diff mbili nyuma(double diff) bali zingine huwa na deed axle(difu moja na axle inayokokotwa)
hto fuso haiwezi kuitwa kipisi sababu haiwezi funga teller nyingine nyuma hapo ikavuta pulling,,, kipisi ni zile Hozi kubwa kama scania howo nk lakin zinakuwa na body ya moja kwa moja sio ya kupachikaKwa definitions zako, gari hii hapa chini
ni KIPISI ( haina trela na inabeba zaidi ya tani kumi)...