de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
- Thread starter
- #21
Ni kweli ila isiwe kisingizio cha kuingia kwenye ndoa mapema, lasivyo ni sawa na kujua sigara ni hatar kwa afya na bado ukavuta.Ndio maisha mkuu tunaumia kazini ,kwenye familia,kwenye mahusiano,kwenye urafiki,kwenye kula na kunywa ,kwenye kucheza n.k binadamu na maumivu ni pande mbili za sarafu Moja haya epukiki