True love is so rare!

True love is so rare!

Ndio maisha mkuu tunaumia kazini ,kwenye familia,kwenye mahusiano,kwenye urafiki,kwenye kula na kunywa ,kwenye kucheza n.k binadamu na maumivu ni pande mbili za sarafu Moja haya epukiki
Ni kweli ila isiwe kisingizio cha kuingia kwenye ndoa mapema, lasivyo ni sawa na kujua sigara ni hatar kwa afya na bado ukavuta.
 
Never engaged in marriage in younger age you have to fight for your own... In order your child to be in safe place.
 
Ni kweli ila isiwe kisingizio cha kuingia kwenye ndoa mapema, lasivyo ni sawa na kujua sigara ni hatar kwa afya na bado ukavuta.
Wanaumia hata wanaochelewa kuingia tena wote TU aweza kuwa mwanaume au mwanamke kama una nafasi nzuri OA Wala usikawie yakienda vibaya jua ni maisha hakuna ajuae kesho oa sasa
 
Wanaumia hata wanaochelewa kuingia tena wote TU aweza kuwa mwanaume au mwanamke kama una nafasi nzuri OA Wala usikawie yakienda vibaya jua ni maisha hakuna ajuae kesho oa sasa
Maumiv utakayopitia kwenye usingle ni bora kuliko ukiwa kwenye ndoa especially kama tayari una watoto, it's like unakua umeharibu destiny yako. Trust me, hasa kwa sisi wanaume.

Wanaoumia ni wale wanaohisi kuwa wapo nyuma kimaisha just because society ina wapressure wawe kwenye ndoa. Huu ni mtego ambao wengi umewanasa na wakaishia kujutia baadae... Kuoa sio vibay ila lazma uwe enough kwanza financially, socially na mentally bila hivyo ni sawa na kujiongezea mzigo usio na ulazma.
 
Facts; but if marriage has nothing to do with love, how would someone marry someone without being in love with them? I think marriage and love are compatible but should be with the right person!
It's just a formality

It can be hard to get away from because it's tied to religion

But it shouldn't be a spectacle nonetheless

It should be the lowest priority for couples
 
Back
Top Bottom