Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Season 2 sehemu ya 1
Basi baada ya kuwa nimekutana kimwili na tatu, babu aliniuliza eti sikuona mabadiliko mwilini mwangu? Nilibaki kuwaza nisikumbuke jambo lolote lililonitokea wakati tunafanya mapenzi na tatu.
Sikumbuki chochote babu kwani sikuona tatizo lolote, nilimjibu babu huku nikimwangalia usoni.
Hukuona mabadiliko yoyote huko chini baada ya tendo? Aliniuliza babu na kuongeza, ile mizizi uliyotafuna humfanya mwanaume kuwa na nguvu mara 3 zaidi ya alizonazo, sasa wewe unaposema hukuona tofauti unanishtua mwanangu na nilitegemea hiyo ndo itakua njia ya kumfanya tatu atupatie kile tukitakacho.
Hapo nilishtuka kidogo na sasa picha ya tendo lote ikanirudia, nilikumbuka namna bwana manyanda wangu alivyoendelea kusimama wima hata baada ya kuwa nimepiga mshindo wa kwanza, hivyo kujumlisha tendo mpaka napiga bao la pili ndo nikashuka kifuani mwa tatu, pia manyanda hakukawia kudinda tena na tena.
Samahani nilisahau babu, kiukweli ule mzizi ni hatari babu, yule binti nilimnyoosha vibaya mno, nisamehe babu.
Basi baada ya kuwa nimekutana kimwili na tatu, babu aliniuliza eti sikuona mabadiliko mwilini mwangu? Nilibaki kuwaza nisikumbuke jambo lolote lililonitokea wakati tunafanya mapenzi na tatu.
Sikumbuki chochote babu kwani sikuona tatizo lolote, nilimjibu babu huku nikimwangalia usoni.
Hukuona mabadiliko yoyote huko chini baada ya tendo? Aliniuliza babu na kuongeza, ile mizizi uliyotafuna humfanya mwanaume kuwa na nguvu mara 3 zaidi ya alizonazo, sasa wewe unaposema hukuona tofauti unanishtua mwanangu na nilitegemea hiyo ndo itakua njia ya kumfanya tatu atupatie kile tukitakacho.
Hapo nilishtuka kidogo na sasa picha ya tendo lote ikanirudia, nilikumbuka namna bwana manyanda wangu alivyoendelea kusimama wima hata baada ya kuwa nimepiga mshindo wa kwanza, hivyo kujumlisha tendo mpaka napiga bao la pili ndo nikashuka kifuani mwa tatu, pia manyanda hakukawia kudinda tena na tena.
Samahani nilisahau babu, kiukweli ule mzizi ni hatari babu, yule binti nilimnyoosha vibaya mno, nisamehe babu.