True story: Babu yangu kama mshikaji wangu (2)

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu (2)

Hivi mbona watu hasira za kunyimwa unyumba asbuhi asbuhi na wake zenu mnataka kuzimalizia hapa jf? naomba mniache, atakeona naandika vibaya nijuu yake kwani mimi sio mwandishi isipokuwa nasimulia kisa changu, silipwi wala nini,

Aaf mtu kusema nawaabisha wasukuma ulitaka niandike waha nawakati mambo yamenitokea usukumani na mimi mwenyewe ni msukuma? Ebu acheni hasira za kipumbav sawa? Hunijui sikujui, ukiona unapigwa kamba ebu jifanye kama huuoni uzi huu,
JINGA MOJA.
 
Jamaa yule ni mkali wa kusimulia, pia ametengeneza fan base ambapo anakubali kukosolewa, kutukanwa nk ila mwisho wa siku anawageuza wakosoaji wake kuwa rafiki zake, sio huyu taahira ambaye akikosolewa kidogo tu anabadilisha na jina.

Angalia ule uandishi wa hadithi ya Togolo, sura moja ina ata za kutosha na matukio mbalimbali.

Hapa babu kanituma ugoro, aya mbili, sura imeisha
I'll take this as a compliment, Asante sana[emoji1545]
 
Dogo, huoni aibu? Hebu tutolee uchafu huu. Wana JF sio wapumbavu kama unavyodhani.

Chizi Maarifa njoo huku kuna taahira anataka kusumbua akili zetù
Hawa jamaa wapumbavu halafu wanadhani na JF wote wapumbavu. Dogo ondoa huu uchafu wako wa kutunga na kujidai ni kweli. Umechuja sana... Unadhani watu wote wata support stories za kipumbavu kama hizi Mafisango Chama
 
Kunamtu amekuita kuja hapa? mbona sioni sehemu nimekutag?
Toka hapa na uchafu wako. Kanawe ndo uje uongee... Unaleta inzi tu na vistory vya kitoto. Nenda kasimuliane na babu yako huko. Huna Elimu ya kutosha kutunga hadithi ya maana. Na ukiendelea utulize akili umwambie mtu akusaidie kufikiri siyo kuleta ujinga tu
 
Toka hapa na uchafu wako. Kanawe ndo uje uongee... Unaleta inzi tu na vistory vya kitoto. Nenda kasimuliane na babu yako huko. Huna Elimu ya kutosha kutunga hadithi ya maana. Na ukiendelea utulize akili umwambie mtu akusaidie kufikiri siyo kuleta ujinga tu
Hayo yote kayasababisha USM ALGER sio mie pumbav.
 
Hayo yote kayasababisha USM ALGER sio mie pumbav.
Nipo hapa nakuangalia dogo nakufuatilia kwa ukaribu na ole wako ushindwe kutunga na kurusha episodes humu ndani utalaumu mzazi wako kwanini amesababisha uzaliwe na mimi mhusika nakutizama tu.
 
Hivi mbona watu hasira za kunyimwa unyumba asbuhi asbuhi na wake zenu mnataka kuzimalizia hapa jf? naomba mniache, atakeona naandika vibaya nijuu yake kwani mimi sio mwandishi isipokuwa nasimulia kisa changu, silipwi wala nini,

Aaf mtu kusema nawaabisha wasukuma ulitaka niandike waha nawakati mambo yamenitokea usukumani na mimi mwenyewe ni msukuma? Ebu acheni hasira za kipumbav sawa? Hunijui sikujui, ukiona unapigwa kamba ebu jifanye kama huuoni uzi huu,
JINGA MOJA.
Ng'wanike olyatora hoho ung'onda ng'wiru!.

Hebu wewe Mafisango Chama kama kweli wewe ni Msukuma niambie hapo ninamaanisha nini?
 
Nipo hapa nakuangalia dogo nakufuatilia kwa ukaribu na ole wako ushindwe kutunga na kurusha episodes humu ndani utalaumu mzazi wako kwanini amesababisha uzaliwe na mimi mhusika nakutizama tu.
Unatishia kunya unakomea kujampa, aaf unajiona bonge la mnyoo wakati sisimizi tu anakugaragaza.
 
Unatishia kunya unakomea kujampa, aaf unajiona bonge la mnyoo wakati sisimizi tu anakugaragaza.
Hata kuandika hujui dogo. Umesoma ulichoandika? Ndo maana nimekuambia just be careful I am watching. Ukikosa kazi kabisa kasome Swahili Course siyo uje kuandika andika uharo hapa ukidhani baadaye utawacharge watu pesa
 
Back
Top Bottom