Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikucharge pesa yako? nimekufanyia kazi gani mpaka nitoze pesa? mzee ebu fuata mambo yako basi, yaani wajinga wenzio wanakujaza pumzi eti wewe u mtetezi wao na mkosoaji wa waleta stori, nawewe kwakupenda sifa unakuja umejaa kweli, sijui unatafta sifa? upuuzi huo, hasomi mtu swahili course wala sukuma course hapa na hutonifanya kitu fala wewe.Hata kuandika hujui dogo. Umesoma ulichoandika? Ndo maana nimekuambia just be careful I am watching. Ukikosa kazi kabisa kasome Swahili Course siyo uje kuandika andika uharo hapa ukidhani baadaye utawacharge watu pesa
Nakuangalia tu dogo. Umetoka bush juz juzi tu hapo. Angalia mjini hapa. Haya usije sema hukuambiwa. Lete episode we fala usicheleweshe watu. mwambie anayekuandikia.... Huko Magu siku hizi mnaongea sana 😁 haya dogo. Mi nakusubiria tu ujaeNikucharge pesa yako? nimekufanyia kazi gani mpaka nitoze pesa? mzee ebu fuata mambo yako basi, yaani wajinga wenzio wanakujaza pumzi eti wewe u mtetezi wao na mkosoaji wa waleta stori, nawewe kwakupenda sifa unakuja umejaa kweli, sijui unatafta sifa? upuuzi huo, hasomi mtu swahili course wala sukuma course hapa na hutonifanya kitu fala wewe.
Waite moods waje wanifungie pumbav zako.
Nakwambia nmeshajaa tena namwagikia, unasemaje? aaf nikwambie fuata mambo yako tu, usifikiri upo mbali sana na mimi, naweza kukunyoosha ili uwasimulie na wajinga wenzi wenye kupenda kushobokea wanaume wenzao.Nakuangalia tu dogo. Umetoka bush juz juzi tu hapo. Angalia mjini hapa. Haya usije sema hukuambiwa. Lete episode we fala usicheleweshe watu. mwambie anayekuandikia.... Huko Magu siku hizi mnaongea sana
Amejibuje?!Hivi ulishindwa nini kuendeleza kule kwenye thread ya mwanzo
NINAANDIKA KWA HERUFI KUU.Nakwambia nmeshajaa tena namwagikia, unasemaje? aaf nikwambie fuata mambo yako tu, usifikiri upo mbali sana na mimi, naweza kukunyoosha ili uwasimulie na wajinga wenzi wenye kupenda kushobokea wanaume wenzao.
Abu fanya nyenyenye ili nikuonesha kwamba uloz upo. Nyie ndo wazee wa kutwa kijiweni unacheza bao, ujuaji mwingi na kugongea kahawa kwa watu, jinga sana.
Wewe tulia kuna mtego nmeutega hapa, nataka anijibu pumba zake ili nimwoneshe kama ulozi upo ama la! maana ameshupaza shingo kunambia nachosimulia ni uwongo.NINAANDIKA KWA HERUFI KUU.
HAUKO MAKINI KWENYE SIMULIZI YAKO.
WENZAKO HUWA WANASHUSHA NONDO TU HAWAJIBIZANI NA WAKOSOAJI.
ACHA LIGI NDOGO SHUSHA VITU AU POTEZEA MAZIMA KULIKO KUGUSA KIDOGO KISHA UNASUSA
[emoji23] watu mna mkwaraWewe tulia kuna mtego nmeutega hapa, nataka anijibu pumba zake ili nimwoneshe kama ulozi upo ama la! maana ameshupaza shingo kunambia nachosimulia ni uwongo.
Shauri yako[emoji23] watu mna mkwara
Nakuaminia ukiweza nishtue nikutumie popo wangu hapa umtume akamnyee mdomoni.. 🤣 🤣 🤣 🤣Shauri yako
Hivi kumbe amebadili jina??alituendesha sana mpuuzi huyuJamaa yule ni mkali wa kusimulia, pia ametengeneza fan base ambapo anakubali kukosolewa, kutukanwa nk ila mwisho wa siku anawageuza wakosoaji wake kuwa rafiki zake, sio huyu taahira ambaye akikosolewa kidogo tu anabadilisha na jina.
Angalia ule uandishi wa hadithi ya Togolo, sura moja ina ata za kutosha na matukio mbalimbali.
Hapa babu kanituma ugoro, aya mbili, sura imeisha
Umerudi tena? [emoji28][emoji28][emoji28]Season 2 sehemu ya 1
Basi baada ya kuwa nimekutana kimwili na tatu, babu aliniuliza eti sikuona mabadiliko mwilini mwangu? Nilibaki kuwaza nisikumbuke jambo lolote lililonitokea wakati tunafanya mapenzi na tatu.
Sikumbuki chochote babu kwani sikuona tatizo lolote, nilimjibu babu huku nikimwangalia usoni.
Hukuona mabadiliko yoyote huko chini baada ya tendo? Aliniuliza babu na kuongeza, ile mizizi uliyotafuna humfanya mwanaume kuwa na nguvu mara 3 zaidi ya alizonazo, sasa wewe unaposema hukuona tofauti unanishtua mwanangu na nilitegemea hiyo ndo itakua njia ya kumfanya tatu atupatie kile tukitakacho.
Hapo nilishtuka kidogo na sasa picha ya tendo lote ikanirudia, nilikumbuka namna bwana manyanda wangu alivyoendelea kusimama wima hata baada ya kuwa nimepiga mshindo wa kwanza, hivyo kujumlisha tendo mpaka napiga bao la pili ndo nikashuka kifuani mwa tatu, pia manyanda hakukawia kudinda tena na tena.
Samahani nilisahau babu, kiukweli ule mzizi ni hatari babu, yule binti nilimnyoosha vibaya mno, nisamehe babu.
kapotea tenaUmerudi tena? [emoji28][emoji28][emoji28]
EheSehemu ya 3
Muda uliwadia, jua kali la saa 9 alasari, ndani ya kijumba kidogo cha nyasi kilichokuwa pale mbugani kwa babu, tulikuwa watatu ndani ya kijumba hiki kichakavu,
Babu, mimi na tatu.
Nimekuita hapa mjukuu wangu tatu, kwanza yale yote yaliyotokea siku mbili tatu nyuma tuyasahau na sasa tuangalie mbele, alivunja ukimya babu.
Wala hakuna neno babu, hayo yote yameshapita, kwani nzehe alishanisamehe yote, alisema tatu.
Lengo lakukuita hapa mwanangu ni moja tu, najua unaelewa kijijini kwetu kumekuwa na matukio mengi ya ajabu ajabu hasa kwa siku za karibuni, nafikiri baada ya bibi yako kufariki kuna watu wanajiona miungu watu na wanafanya watakavyo kuwaonea watu wasio na hatia, vitendo hivyo vinanikera na nimeshindwa kuvumilia kwani pia wamerenga kumfanyia na huyu mjukuu wangu nzehe eti wamtafune nyama, nasema nataka niwakomeshe ili kijiji chetu kirudi kuwa na amani kama kilivyokuwa kabla ya bibi yako hajafariki, alieleza babu mbele yangu na tatu.
Mimi na tatu tulikuwa kimya tukisikiliza kwa makini.