Mzee wa Chai
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 684
- 1,202
Tatizo mm rafiki yako nakwambia ukweli hutaki kuniaminiHili jamaa kichwa ngumu hatari.
Nia yangu kuwafumbua vilaza mliokomalia huu uzi kuwa tamu nzuri na blaa blaa kibaoKama uongo unafata nini hapa?
Basi niku ignore sawa?Tatizo mm rafiki yako nakwambia ukweli hutaki kuniamini
Acha tuendelee kudanganywa mkuu mwisho tutauona mchawi pretty magamboNia yangu kuwafumbua vilaza mliokomalia huu uzi kuwa tamu nzuri na blaa blaa kibao
Endelea acha uvivu kijana117
Babu alinitaka nieleze ukweli ninaoujua juu ya watu wale kupewa pigo lilowalaza hoi vitandani.
Niliinamisha kichwa chini nikiwaza, je nimwambie babu yote yaliyotokea? Je anajua kwamba bibi nae ni mshirika wa walozi? Hapana sitakiwi kusema chochote, niliwaza.
Niseme ukweli babu wale wazee wamenishangaza sana kwa maneno yao kwamba nimefanya watu walale hoi vitandani, kiukweli sijui chochote juu ya mambo hayo, nilimjibu babu.
Ninani ndugu yako kati yangu na huyo mchawi mwenzio anaekudanganya na kukupeleka ukajue siri za watu? Sasa kama unamuona yeye ndo msaada wako sawa, sitokuuliza tena na yatakayokupata atakusaidia yeye, aliongea kwa hasira babu huku akinyanyuka na kuingia ndani kulala akionekana mwenye kuchukizwa ni ubishi wangu.
Nilijiona mpumbav kwa ujinga ule nilofanya, kweli nawezaje kumficha babu mambo ya hatari kama yale?
Nilijilaumu sana.
Kesho nitamsimulia yote, niliwaza huku nikinyanyuka kinyonge na kuingia getoni mwangu huku nikianza kuihisi roho ya kichawi kuanza kuniingia.
Shhhhh!!!Wanasema kama unaona hadithi kasome nyuzi zingine!Ila hapa katupiga na kitu kizito katoka mbio kumkumbatia yunge!!Dah jamaa anatuonaje sijui, nilikua nafuatilia toka mwanzo ila kwa hapo ngoja niwaachie uzi wenu.Shigongo... on the beat
Tatizo hawasemi ukweli kama ni hadithi za kutungaShhhhh!!!Wanasema kama unaona hadithi kasome nyuzi zingine!Ila hapa katupiga na kitu kizito katoka mbio kumkumbatia yunge!!Dah jamaa anatuonaje sijui, nilikua nafuatilia toka mwanzo ila kwa hapo ngoja niwaachie uzi wenu.
Shhhhh!!!Wanasema kama unaona hadithi kasome nyuzi zingine!Ila hapa katupiga na kitu kizito katoka mbio kumkumbatia yunge!!Dah jamaa anatuonaje sijui, nilikua nafuatilia toka mwanzo ila kwa hapo ngoja niwaachie uzi wenu.
Big wa gobaToka kugonga dem mara ya kwanza mpaka sports round-up??? Kabla ya hapo ilikua ni top 20, tena ni asubuhi hiyo??!! Ayseee [emoji119][emoji119][emoji119]
Hii safari nimejitahidi kujishikilia lakini naona tunarudi kulekule kwa jirani bonge..... [emoji849][emoji849][emoji849]
Kimsingi binadamu hatutakiwi kufanya kitu bila faidaNia yangu kuwafumbua vilaza mliokomalia huu uzi kuwa tamu nzuri na blaa blaa kibao
Madam usibishane na watoto jisomee kimya kimya, nakuacha na hii.Kimsingi binadamu hatutakiwi kufanya kitu bila faida
Naomba kujua unapata faida gani kwa kazi hiyo?
Pili, unapungukiwa nini endapp wenzako wakifatili?