Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee utaendelea lini? Imekuwa kitambo sanaSamahani kwa usumbufu ulojitokeza, nilishindwa kuendeleza stori kutokana na changamoto za kibinadamu, japo nilikuwa natamani nipate muda wa kumaliza stori yangu, ila changamoto zilikuwa nyingi hivyo sikuwa na namna, naweza kuendelea na stori hii mpaka mwisho endapo mtaendeleza sapot zenu katika kisa changu hiki, asanteni sana.
Mzee unaongea kwa hasira na uchungu sana, pole babu.Wewe litukane uone kama halita reply..hii story ilikua ya kutunga.
Mzee uliahidi unaleta story ila tunaona kimya tena. Vipi una changamoto?Mzee unaongea kwa hasira na uchungu sana, pole babu.
Nikweli bado sijapata tyme ya kutulia niendelee kuandika kisa hiki.Mzee uliahidi unaleta story ila tunaona kimya tena. Vipi una changamoto?
Acha uongo mpuuzi wwNikweli bado sijapata tyme ya kutulia niendelee kuandika kisa hiki.
Mkuu sidhan ni busara sana kuanza kujibizana na members wa humu huu muda nadhani ungetumia kuandika mkuu.Mzee unaongea kwa hasira na uchungu sana, pole babu.
Wachawi mpo?Tunaendelea
Bibi aliingia jikoni akiniacha nimekaa kwenye kivuli cha mwembe, nyumba moja kubwa mgongo wa tembo yenye chumba na sebule, nyumba mbili ndogondogo kulia na kushoto mwa ile nyumba kubwa iliyokuwa imejengwa ikiangalia magharibi, huku zile nyumba mbili ndogo zikitizamana, yakwanza slopu ya bati kama 8 hivi, imepigwa lipu kwa nje hii ilitizama kusini, na nyingine ya ukubwa kama huo ila ya nyasi ikitizama kaskazini, humu ndio bibi aliingia na mda kidogo nikaona moshi unafuka juu nyumba kuashiria moto umewashwa kwa ajili ya msosi,
Basi nikiwa nashangaa mazingira pale bibi alitoka jikoni akanambia njoo hapa mme wangu, basi nikasogea, huku akielekea nyuma ya ile nyumba ya nyasi, tulipofika nyuma ya nyumba, kulikuwa na mahindi yamelimwa kuizunguka mji wote ule,
Ndipo bibi akasema nisaidie kumkamata yule jogoo mwekundu, dah! Mate yalinidondoka palepale ilihali bibi aliona kitendo kile, akasema, usijali mme wangu, yaani hapa nataka mpaka usahau kurudi kwa mama mkwe, kuwa na amani..!
Waburushi wa bukoliMkuu, Bukoli kuna vichotara uchwara vya kiarabu! Pia Bukoli pale ngono inatembea sana! wakishakula vibambala basi shughuli inaanza.