True Story: KISENGE

aisee...umekumbuka mbali...
 
Aise watu wanpenda habari za kisenge kinoma yaani ila kumwambia mkuu Wa mkoa analeta maswala ya kisenge si vzr maana kisenge alifanya vitu Kwa ufanisi mkuu makonda yupo slow hana mambo ya kisenge
 
Na ALIKUWA MPARE WA USANGI[emoji80] [emoji15] [emoji80] [emoji15] [emoji115]
mshana jr kula [emoji109] nyelwa kissenge rip mi mzee wangu kabisa mimi ni last born wake,please have respect to him wakuu
 
mshana jr kula [emoji109] nyelwa kissenge rip mi mzee wangu kabisa mimi ni last born wake,please have respect to him wakuu
Hatimaye mtoto wa kisenge umejitoza? watoto wengine wa kisenge wako wapi?
 
Hatimaye mtoto wa kisenge umejitoza? watoto wengine wa kisenge wako wapi?
wapo wengi tu mkuu dragoon,inategemeana ni yupi unaetaka kudeal nae,wapo ma dr,eg wa watoto,moyo,**** maengeneer,IT,HR,Accountants etc
Hatimaye mtoto wa kisenge umejitoza? watoto wengine wa kisenge wako wapi?
 
wapo wengi tu mkuu dragoon,inategemeana ni yupi unaetaka kudeal nae,wapo ma dr,eg wa watoto,moyo,**** maengeneer,IT,HR,Accountants etc
wengine wanaiga utendaji wa kisenge
 
Dah watu wanapenda mambo ya kisenge kinoma we hiz habar watu tushazisahau mtu anatuletea tena uzi wa kisenge tuanze kuujadali m naona haya mambo ya kisenge yaishe bhna
 
wapo wengi tu mkuu dragoon,inategemeana ni yupi unaetaka kudeal nae,wapo ma dr,eg wa watoto,moyo,**** maengeneer,IT,HR,Accountants etc

Pole sana kwa kupotelewa na mzee wenu Kisenge

Inabidi tuige mfano wa Kisenge
Hata humu JF tufanye mambo Kisenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…