Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje tu mapema sana ang'aeoya Mpaji Mungu njoo kuna kazi huku
Mng'arishe aopoe pisi za kwenda.Aje tu mapema sana ang'ae
Juzi tu hapa kuna demu nilikua namkubali kinoma na so kumkubali tu nilikua nampenda. Nilitumia sana baada ya kumkuta na mishikaji muuza duka🫣. Niliumia sana. Na chaajabu huyo jamaa hajanizidi chochote. Nilipo Kutana naye na kumuuliza akawa anajikanyagakanyaga. Ni nakaachananaye na maisha yanasonga. Hivi viumbe siyo vya kuvizingatia😎😎😎😎😎😎
Baba Parokwo ujue sijakusomaShikamoo mama P
Kwani wewe umemzidi nini jamaa muuza duka?Juzi tu hapa kuna demu nilikua namkubali kinoma na so kumkubali tu nilikua nampenda. Nilitumia sana baada ya kumkuta na mishikaji muuza duka🫣. Niliumia sana. Na chaajabu huyo jamaa hajanizidi chochote. Nilipo Kutana naye na kumuuliza akawa anajikanyagakanyaga. Ni nakaachananaye na maisha yanasonga. Hivi viumbe siyo vya kuvizingatia😎😎😎😎😎😎
Kama hujanisoma umewezaje kunireply.?Baba Parokwo ujue sijakusoma
Soma comment yako kwanza kukuqoute sijakuelewa kabisaKama hujanisoma umewezaje kunireply.?
Mama parokwo
Soma mtiririko wa koment niliyokutaja utaelewa maza parokwoSoma comment yako kwanza kukuqoute sijakuelewa kabisa
😒Soma mtiririko wa koment niliyokutaja utaelewa maza parokwo
Ndio namna pekee utakayoweza kuelewa, ningekuwa na namba zako za simu ningekupigia nikuelekeze ila ndio hivyo sina na kule huji 😐
Kabisa yaani....yaani wangeona wenzao wanavyoandika short kati!Unaandika meseji ndefu sana. Mademu hawapendi meseji ndefu.
Akizeeka ataachaMapenzi yatakutoa damu
NomaTrue story,
Tangu nimezaliwa mpaka Sasa nishakuwa kwenye mahusiano serious ×3 ukiachana na zile chapa ilale ambazo nimepita mpaka sikumbuki idadi ya nliopitanao, Na kwa Sasa Niko single Wala sipigi chapa ilale tena,
Ila hivi karibuni nimepita changamoto Sana, Kuna mtoto mumoja mchaga wa huru milimani huko kanichanganya sana. Hakika sijawahi penda Kama navyo mpenda yy, nilianza mtafuta tangu mwakajana mwezi wa tano.
Bro/sister nakuambiaje nilikuwa namjali sana, hata akipata tatizo nalichukulia Kama langu nimegharamika Sana kuonesha upendo wa Hali ya juu, lkn huez amini Hyu binti alikuwa ananipiga matukio makali Sana.
Niliumwa kipindi flani na akapata taarifa Ila hakunicheki hata kidogo nilipo mcheki mm tukaongea Kama Lisaa hivi halafu badae akawa hapokei cm Kama wiki hivi, lkn nkiulizia watu wengine anaongea nao, Kuna siku aliniblock bila tatizo lkn nilipo mtafuta kosa likawa langu nikaomba msamaha mm, mwisho kabisa ni juz juz aliacha kupokea sm kwa Mara nyingine tena na na hapo nilipo kuja kumpata (alipopokea) sikumuuliza shida nn maana angekasirika, nikamuomba anipe jibu langu Ila huezi amini dakika za mwisho mtoto hanitaki eti kwakweli unauma Sanaa Wana JF.
Naombeni ushauri wenu.
View attachment 2937143
[emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaaNdio namna pekee utakayoweza kuelewa, ningekuwa na namba zako za simu ningekupigia nikuelekeze ila ndio hivyo sina na kule huji [emoji52]
Kwani uongo 😂
Kwanza umenidanganya. Usinisemeshe ☹️Kwani uongo 😂
Kwa kipi ma parokwo?Kwanza umenidanganya. Usinisemeshe ☹️